Kilimo na matumizi ya bidhaa za tumbaku upigwe Marufuku

Situmii sigara wala cannabis ila mazingira nilipo kuna wavuta sigara vijana wengi sana na baadhi naona wanalalamika vifua vinawabana na wanakohoa sana usiku.
Na huo moshi wa sigara, akiuvuta asiyevuta, bado una madhara kwake pia. Takwimu za wanaokufa kwa kuvuta moshi wa sigara pasipo kuvuta sigara inafikia watu milioni 1.2 kwa mwaka dunia nzima.
 
Hivi unajua TCC inachangia pato kiasi gani nchi hii..acha washiriki kukuza uchumi mana hata wavutaji wanajua madhara wameamua wenyewe..kwani nikuulize kuna faida gani ukifa na mapafu mazima.?

Mimi naomba serikali ianze kutoza kodi pia kwa wadangaji mana hii biashara ni kubwa na ina mzunguko mkubwa wapesa...na wateja wapo wa uhakika mana nyege haziishi na kil siku watu wana balehe so ni biashara endelevu.

#MaendeleoHayanaChama
Kama suala ni kuchangia pato la taifa, basi nina uhakika hata bangi ikihalalishwa inaweza kuchangia pato la taifa pengine hata kuzidi tumbaku.
 
Kama suala ni kuchangia pato la taifa, basi nina uhakika hata bangi ikihalalishwa inaweza kuchangia pato la taifa pengine hata kuzidi tumbaku.
Kiufupi sisi kama nchi tunapelekeshwa na mataifa ya nje..yakisema hii na haramu tuna haramisha..yakisema hii ni halali hata kama inaumiza afya za watu wetu tuna halalisha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom