Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Ikiwa madhara ya matumizi ya tumbaku/sigara ni makubwa kwa kiwango tunachoambiwa na wataalamu wa afya; kwanini Serikali isichukue hatua za kupiga marufuku kabisa uvutaji na ulimaji wa zao la tumbaku ili kuwanusuru Watanzania na vifo vinavyotakana na matumizi yake?
Kama tumepiga marufuku matumizi ya bangi, tunashindwa nini kupiga marufuku matumizi ya tumbaku?
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, matumizi ya sigara/tumbaku husababisha vifo vya watu zaidi ya MILIONI NANE kwa mwaka. Kiwango hiki ni kikubwa sana kusababishwa na jambo linaloweza kuepukika.
Kama tumepiga marufuku matumizi ya bangi, tunashindwa nini kupiga marufuku matumizi ya tumbaku?
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, matumizi ya sigara/tumbaku husababisha vifo vya watu zaidi ya MILIONI NANE kwa mwaka. Kiwango hiki ni kikubwa sana kusababishwa na jambo linaloweza kuepukika.