Agrodealer
Senior Member
- Mar 19, 2011
- 107
- 11
Jamani kuna kilio cha mawakala wa pembejeo za kilimo kanda ya kaskazini. Mawakala wametoa huduma kwa wakulima tangu mwezi wa 3
cha kushangaza mpaka leo wakulima wamevuna na kula ila mawakala hawajalipwa ujira wao. Swali ni, Ni kweli kwamba sera ya lilimo kwanza itafikia malengo kwa hali hii?
cha kushangaza mpaka leo wakulima wamevuna na kula ila mawakala hawajalipwa ujira wao. Swali ni, Ni kweli kwamba sera ya lilimo kwanza itafikia malengo kwa hali hii?