Kipi bora kwa watanzania wengi? 70%
Asilimia 70 ni wakulima, je wakiwezesha ndio watakuwa na purchasing power pia demand ya industrial products
Kipi kianze? Industrialization au Agricultural revolution
Kipi kianze, kati ya Kilimo au Viwanda?
Importance of agricultural sector in a country’s economic development
Maoni yangu: Wazo la Tanzania ya Viwanda, naunga Mkono Rais Magufuli
Nashauri, Viende Sambamba...Budget ya Kilimo iongezwe..
Wakulima wapate elimu na pembejeo kwa bei nafuu (Subsidize)
Serikali ifungue mipaka watu wauze nje, wakulima wapate pesa
Wakulima wakipata pesa, Purchasing power itaongezeka na watanunua bidhaa za viwandani.
Asilimia 70 ni wakulima, je wakiwezesha ndio watakuwa na purchasing power pia demand ya industrial products
Kipi kianze? Industrialization au Agricultural revolution
Kipi kianze, kati ya Kilimo au Viwanda?
Importance of agricultural sector in a country’s economic development
Maoni yangu: Wazo la Tanzania ya Viwanda, naunga Mkono Rais Magufuli
Nashauri, Viende Sambamba...Budget ya Kilimo iongezwe..
Wakulima wapate elimu na pembejeo kwa bei nafuu (Subsidize)
Serikali ifungue mipaka watu wauze nje, wakulima wapate pesa
Wakulima wakipata pesa, Purchasing power itaongezeka na watanunua bidhaa za viwandani.