Nimekuelewa murua kabisa boss wanguGood mkuu usidanganyike na deal chap chap piga kazi afu fanya kitu unacho weza wewe binafsi kukagua na kuona nini kina fanyika nani vizuri anaye kupa mchongo awe anafanya tayari ila biashara za mezani hizi mtu ana kuambia weka 2m baada ya hapo tuna zungusha hivi au tunafanya hivi mwezi unao fwata unapata faida 1m zaidi kaa mbali sana mkuu.
Jatu ijitangaze sasa kuondoa hizi sintofahamu!!Jatu wanalima mahindi kiteto, mpunga kilombero, maharage kilindi, machungwa handeni, na sasa wanajiandaa kuanzisha kilimo cha parachichi Njombe
Yaani huku mitaani mambo ni mengi,na yote ni utapeli,anza na deci,forever living,longrich,mr kuku nk😂😂😂😂 kunamambo huwa yananichekesha sana. Yaan niwatumie pesa wanilimie shamba na kunitafutia soko mm nikuchukua faida tu. Hapa ndipo napata picha ni rahisi kiasi gani wakoloni walivyojichukulia Mali zetu. Km mpk enzi hizi kunamambo ya magumashi hv na bado watu wanaingia 18 hebu waza hiyo miaka ya 1899 huko ilkuaje
Wakuu salam, kuna mtu kanisimulia kuhusu kampuni inayofanya kilimo kwenye mtandao.kwamba unatuma hela wao wanalima na kushughulikia mazao,yakiwa tayari wanauza unapewa hela yako,je ni kweli? Au ni jamii ya akina DECI ?
Naomba mwenye ufahamu zaidi anijulishe.Jamaa aliyeniambia anaanza kushawishika kujiunga nao,mimi napata mashaka na hii kitu.
Karibuni wakuu.
How wanaitwa JATU PLC..... wanajulikana kila secta ya serikali inayojihusisha na masuala kilimo, kama ni mfuatiliaji hata kwenye maonesho ya nane nane walikuwa na banda kule bariadi, hapa dar walikuwa kongamano ubungo plaza lililowahusisha wizara ya kilimo na mgeni rasmi alikuwa katibu mkuu wa wizara ya kilimo.Aiseee,ni watu wa ukweli au ni utapeli tuu,km deci?
How wanaitwa JATU PLC..... wanajulikana kila secta ya serikali inayojihusisha na masuala kilimo, kama ni mfuatiliaji hata kwenye maonesho ya nane nane walikuwa na banda kule bariadi, hapa dar walikuwa kongamano ubungo plaza lililowahusisha wizara ya kilimo na mgeni rasmi alikuwa katibu mkuu wa wizara ya kilimo.
How wanaitwa JATU PLC..... wanajulikana kila secta ya serikali inayojihusisha na masuala kilimo, kama ni mfuatiliaji hata kwenye maonesho ya nane nane walikuwa na banda kule bariadi, hapa dar walikuwa kongamano ubungo plaza lililowahusisha wizara ya kilimo na mgeni rasmi alikuwa katibu mkuu wa wizara ya kilimo.