braza bonge
Member
- Jul 13, 2018
- 79
- 99
mnada utakuwa wapi mkuu? na utakuwa kupitia media? au online?Capslock, braza bonge mnada unaanza kesho tutafahamu bei.
mnada utakuwa wapi mkuu? na utakuwa kupitia media? au online?Capslock, braza bonge mnada unaanza kesho tutafahamu bei.
Vipi bei ya mnada ilikua shilingi ngapi? Naomba tujuze.Stakabadh gharani mambo yashaiva huko songea Namtumbo
Mnada wapi? Tujuze bei ya mnada utakaofanyika leo.Capslock, braza bonge mnada unaanza kesho tutafahamu bei.
Mnada upi?
Nataka kulima na MimiCapslock, braza bonge mnada unaanza kesho tutafahamu bei.
Vipi mkuu msimu huu ulilimaMrejesho Kuhusu Kulima Ufuta
Mwaka Jana As 2019/2020 Nililima Ufuta wangu namshukuru Mungu sana kwakuwa bado kijana mdogo na nilipanga na nikafanikiwa kulima kwangu naona ni hatua kubwa sana ila mambo hayakuenda kama yalivyotarajiwa kutokana na sababu kadhaa
1) Usimamizi mbovu
2) Mbegu haikuwa nzuri
Mwaka 2020/2021 Kwakweli Nalima tenah sitaweza kuacha Kilimo kinapesa sana
Mwaka huu mpk 3000Hali mbaya.. kangomba wananunua 700 hadi 1000 kwa kilo. Na mnadani bei 1550.(mnada wa leo kilwa-27/06)
Mwaka huu 3000Daaah jamani Bei ya ufuta ni changamoto kwa anaejua soko zuri kidogo ya walao kilo 1900 aseme tupeleke gunia zetu tukaziuze hata kwa Bei hiyo Mana hakuna namna.
VIP mwaka huu utalimaNatarajia kulima msimu ujao nko naandaa shamba maeneo ya mkumi morogoro......
MkuuMkuu hailipi kwa bei hiyo, coz ekari moja ya ufuta huwa inatoa gunia 3 kiwango cha juu, kwahiyo 1900×3= 570000. Ambapo mahindi ekari moja inaweza kutoa hadi gunia 10×60000= 600000 kiwango cha juu.
Hapo ilitakiwa bei ianzie walau 2500kg
Ulilima mkuu?Mkuu kwa bei izo ni zakawiada kwenye ufuta huwa inaanzia 1,500 to 3,000,bei itacheza kwenye izo namba kwaiyo wakulima wamezoea na bado inawalipa kwa sababu wengi wanalima eneo kubwa.,
Pia COVID19 imechangia kushuka kwa bei nadhani msimu wa mwakani itapanda sana na ninampango wa kwenda kuwekeza uko.
Mlianza na Alizeti, matikiti, mayai ya kware, vanilla, parachichi na mnarudia kulukule kwenye ufuta.Jf NI zaidi ya kisima Cha maarifa.. naufufua Uzi huu
Mlianza na Alizeti, matikiti, mayai ya kware, vanilla, parachichi na mnarudia kulukule kwenye ufuta.
Shauri zenu nyie limeni tu tutakuja kununua kilo sh 500 kumbuka vita ya Ukraine Bado inaendelea.
Iga ufe!
mrangi mgt software Countrywide