Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

Lindi hiyo.

#MaendeleoHayanaChama
IMG-20210530-WA0047.jpg
 
Kwa wale wafugaji hasa wa mikoa yenye gharama kubwa ya chakula sasa Bei kubwa ya chakula isikukwamishe kufuga. Sasa unaweza pata chakula cha mifugo pia nafaka mbalimbali kwa bei halisi ya mkoani

Unachotakiwa kufanya ni kuwasiliana na nasi katika group letu huwa tunapakia na kusafirisha hadi mkoa ulipo kwa bei ya mkoani na nafuu zaidi

Vyakula unavyoweza pata
1. Pumba za mahindi
2. Pumba za mpunga laini kwaajili ya nguruwe
3. Mashudu
4. Uduvi
5. Chakula cha kuchanganywa
6. Na vyakula vingine kwa order ya mteja husika kama uduvi, mahindi, chenga za dagaa, nk
 
Mrejesho Kuhusu Kulima Ufuta
Mwaka Jana As 2019/2020 Nililima Ufuta wangu namshukuru Mungu sana kwakuwa bado kijana mdogo na nilipanga na nikafanikiwa kulima kwangu naona ni hatua kubwa sana ila mambo hayakuenda kama yalivyotarajiwa kutokana na sababu kadhaa
1) Usimamizi mbovu
2) Mbegu haikuwa nzuri
Mwaka 2020/2021 Kwakweli Nalima tenah sitaweza kuacha Kilimo kinapesa sana
Vipi mkuu msimu huu ulilima
 
Mkuu hailipi kwa bei hiyo, coz ekari moja ya ufuta huwa inatoa gunia 3 kiwango cha juu, kwahiyo 1900×3= 570000. Ambapo mahindi ekari moja inaweza kutoa hadi gunia 10×60000= 600000 kiwango cha juu.

Hapo ilitakiwa bei ianzie walau 2500kg
Mkuu
 
Mkuu kwa bei izo ni zakawiada kwenye ufuta huwa inaanzia 1,500 to 3,000,bei itacheza kwenye izo namba kwaiyo wakulima wamezoea na bado inawalipa kwa sababu wengi wanalima eneo kubwa.,
Pia COVID19 imechangia kushuka kwa bei nadhani msimu wa mwakani itapanda sana na ninampango wa kwenda kuwekeza uko.
Ulilima mkuu?
 
Back
Top Bottom