Habari wadau
Wapi naweza kupata mashine ya kupandia ufuta
Vipi wadau nasikia msimu wa mavuno umeanza..tupeane updates za minada huko mliko.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Kuna mashine za kupandia Ufuta?Habari wadau
Wapi naweza kupata mashine ya kupandia ufuta
Umenifanya nivutike kulima mwaka huu, maana watu walisema Ni Gunia mbili mwisho taku kwa Ekari Moja. Sasa kwa uzoefu wako unaniambia kuwa Ni Gunia Hadi Sita. Siyo mbaya kikubwa spacing. Msitari na mmea Hadi mmea. Huduma za mbolea pia,Nimekuwepo lindi- Liwale huko wanapata debe 24- 36 kwa heka pia huku songwe maeneo ya mkwajuni napo kipato kipo hivyo pia ukienda maeneo ya bonde la ziwa rukwa napo wengi huwa kipato kina range kwenye debe 18-36
Sent using Jamii Forums mobile app
Ruvuma mnada wa kwanza bei ilikuwa Tsh. 2338-2280Vipi wadau nasikia msimu wa mavuno umeanza..tupeane updates za minada huko mliko.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
dodoma je!, bei imeanza shingapi?
Njoo pm Mzee baba tuyajenge, kuna mtu yupo jikoni kabisaWadau wapi ufuta unapatikana kwa wingi..ili ni weze kukusanya tani kuanzia kumi kwa muda mfupi..nahitaji konekisheni.
#MaendeleoHayanaChama.
Sent using Jamii Forums mobile app
KaribuWadau wapi ufuta unapatikana kwa wingi..ili ni weze kukusanya tani kuanzia kumi kwa muda mfupi..nahitaji konekisheni.
#MaendeleoHayanaChama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo mkoa gani?Jamani habari za humu ndani...
Naomba msaada wa kujua bei ya ufuta ama makampuni makubwa yanayonunua ufuta kwa bei nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mambo vp? Ulishafanikisha hili suala lako?Wadau wapi ufuta unapatikana kwa wingi..ili ni weze kukusanya tani kuanzia kumi kwa muda mfupi..nahitaji konekisheni.
#MaendeleoHayanaChama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko mkoa wa Katavi,Wilaya ya Mpanda,kijiji cha Stalike...Nimelima heka 30...Namalizia kuvuna