Mkweli77
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,458
- 1,119
Bora ninunue Na kuuza ila hili zao kulima ni pasua kichwa asikuambie Mtu, afu linatuma vibaya vibaya, ukiwa unalima usicheze mbali Na shamba lako, pia Kuna imani za kishirikina pia katika zao hili,
Mwaka Jana mwenz wa 6 niliingia chimbo mwenyewe huko Nanjilinji kununua Ufuta mashambani kwa wakulima wenyewe huko milimani kwenye makorongo, nilipata story nyingi za wakulima kuhusu zao hili..!!
Unaweza kutumia Pesa nyingi Na usirudishe pesa zako muda wa mavuno, pia unaweza ukatumia Pesa ndogo Sana ukapiga pesa saana Yani unaweza kulima heka mbili TU ukabutua, Ila unaweza ukalima heka 20 ukaja kupata gunia 5 TU,
Wengi wanaolima zao Hilo kwa wilaya ya kilwa Na kidogo vijiji vya Ruangwa mpakani mwa Kilwa Na Ruangwa, wengi wao huwa wanalala huko huko porini, kwa maana wanajenga Banda TU wanalala hapo kusimamia shamba,,au ukishindwa kulala mwenyewe, Una muajiri Mtu analala ni Kama analinda. ..!
Katika ulimaji wa zao hili naona Una changamoto nyingi kuliko korosho,, hasa hasa kipato chake kinaendana Na bahati,
Mwaka Jana mwenz wa 6 niliingia chimbo mwenyewe huko Nanjilinji kununua Ufuta mashambani kwa wakulima wenyewe huko milimani kwenye makorongo, nilipata story nyingi za wakulima kuhusu zao hili..!!
Unaweza kutumia Pesa nyingi Na usirudishe pesa zako muda wa mavuno, pia unaweza ukatumia Pesa ndogo Sana ukapiga pesa saana Yani unaweza kulima heka mbili TU ukabutua, Ila unaweza ukalima heka 20 ukaja kupata gunia 5 TU,
Wengi wanaolima zao Hilo kwa wilaya ya kilwa Na kidogo vijiji vya Ruangwa mpakani mwa Kilwa Na Ruangwa, wengi wao huwa wanalala huko huko porini, kwa maana wanajenga Banda TU wanalala hapo kusimamia shamba,,au ukishindwa kulala mwenyewe, Una muajiri Mtu analala ni Kama analinda. ..!
Katika ulimaji wa zao hili naona Una changamoto nyingi kuliko korosho,, hasa hasa kipato chake kinaendana Na bahati,