Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

Mkuu endapo ufuta umekomaa halafu mvua inanyesha unafanyaje ili ukate ama ukiukata utunze sehemu gani ili ubaki ubora wake. Kwa mwaka huu 2017 maeneo ya Mkoa wa pwani ufuta umekoma lakini bado mvua zinaendelea kunyesha tu.
 
Mkuu endapo ufuta umekomaa halafu mvua inanyesha unafanyaje ili ukate ama ukiukata utunze sehemu gani ili ubaki ubora wake.kwa mwaka huu 2017 maeneo ya Mkoa wa pwani ufuta umekoma lakini bado mvua zinaendelea kunyesha tu
The same thing inatokea kwangu. Please tunaomba majibu nataka nianze kukata 15-06-2017 ila ndio hivyo Lindi huku.
 
Nimeanza kuvuna ufuta shambani kwangu, kwa sasa nafanya comparison ya bei na wanunuzi. JF ni jungu kuu naombeni member wenye kujua wanunuzi mbali mbali wanipe contacts zao ile nilinganishe bei nifanye right choice ktk kuuza mzigo.
Thanks wadau wote.


Mrejesho:

  • kati ya eka 30 nilizopanda ufuta ulistawi vzuri na kuvunwa eka 17..hii ilisababishwa na uangalizi mbovu wa aliyekuwa ananisimamia shamba.
  • kila eka nilivuna wastani wa kilo 350, kipindi hiki ( july 2011-2012) wanunuzi binafsi hawakuruhusiwa lindi kununua ufuta, so niliuza kwa utaratibu wa stakabadhi ghalani @ 1200/= kwa kilo jumla nilipata kama milion 7 kwa msimu mmoja (gharama za kusafisha msitu wa eka 30, mbegu na malipo ya wafanyakazi zilikuwa ni 3.5 milion), sikuingia gharama ya kusafirisha kwa kuwa walinifata shambani.
  • Mwaka 2013 sikulima nilipumzisha shamba kwa kulisafisha eka zangu zote 50 na kutanua kidogo (hili shamba lilikuwa ni msitu wakati nalichukua)
  • mwaka huo wa 2013 ulikuwa ni mzuri sana kwa upande wa bei, chomachoma (wanunuzi binafsi) waliruhusiwa na ufuta ulipanda bei hadi kufikia 2500 kwa kilo na unalipwa cash hapo hapo. waliolima walipata pesa nzuri tu.
  • mwaka huu vijana wanamalizia kupanda shamba nimelima ekari 35, nilibadili team ya wafanyakazi wa shamba kwa kuwa wengi walinikwamisha kwa kuendekeza starehe badala ya kazi. natumaini wanunuzi binafsi wataruhusiwa.
  • watu wengi kutoka mikoa mbali mbali (wachaga kibao) wameanza kuvamia misitu na kuiuza au kulima so kwa sasa kumechangamka sana tofauti na 2011 wakati naanza.
  • expectations zangu mwaka huu ni ........35(eka) x 400(kg) x 2500(bei/kg)=35,000,000.
  • NB: 400kg kwa eka ni kiwango cha chini cha mavuno, wataalamu wa chuo cha naliendele waliniambia kwa mbegu zao za lindi 2002 na malada natakiwa nipate 1200kg kwa eka. Vijana wapo shamba wanachakarika na mi nipo mjini namtumikia mkoloni (ajira).


Thanks kwa wote:

UKITAKA KUUJUA UTAMU WA NGOMA .......UINGIE UCHEZE.
Wonderfull
 
Soko la mazao ya biashara ni zuri sana tu kama unakuwa mbunifu wa kuzindika mwenyewe badala ya kutegemea uwauzie wengine mazao yako. Kama una mpango wa zao la ufuta ni bora kama unaamua kuwa na kinu cha kukamua mafuta na katu hutakosa soko la mafuta.

Binafsi nakushauri sana kulima zao la ufuta iwapo utakuwa na mipango ya kuzindika na kupata mafuta wewe mwenyewe na kisha uuze mafuta yake, hapo utakomba faida yote badala ya kudanganywa na wanunuzi wa middles ambao hula faida ya wa juu na wa chini.
Noted
 
Nimeanza kuvuna ufuta shambani kwangu, kwa sasa nafanya comparison ya bei na wanunuzi. JF ni jungu kuu naombeni member wenye kujua wanunuzi mbali mbali wanipe contacts zao ile nilinganishe bei nifanye right choice ktk kuuza mzigo.
Thanks wadau wote.

Mrejesho:

  • kati ya eka 30 nilizopanda ufuta ulistawi vzuri na kuvunwa eka 17..hii ilisababishwa na uangalizi mbovu wa aliyekuwa ananisimamia shamba.
  • kila eka nilivuna wastani wa kilo 350, kipindi hiki ( july 2011-2012) wanunuzi binafsi hawakuruhusiwa lindi kununua ufuta, so niliuza kwa utaratibu wa stakabadhi ghalani @ 1200/= kwa kilo jumla nilipata kama milion 7 kwa msimu mmoja (gharama za kusafisha msitu wa eka 30, mbegu na malipo ya wafanyakazi zilikuwa ni 3.5 milion), sikuingia gharama ya kusafirisha kwa kuwa walinifata shambani.
  • Mwaka 2013 sikulima nilipumzisha shamba kwa kulisafisha eka zangu zote 50 na kutanua kidogo (hili shamba lilikuwa ni msitu wakati nalichukua)
  • mwaka huo wa 2013 ulikuwa ni mzuri sana kwa upande wa bei, chomachoma (wanunuzi binafsi) waliruhusiwa na ufuta ulipanda bei hadi kufikia 2500 kwa kilo na unalipwa cash hapo hapo. waliolima walipata pesa nzuri tu.
  • mwaka huu vijana wanamalizia kupanda shamba nimelima ekari 35, nilibadili team ya wafanyakazi wa shamba kwa kuwa wengi walinikwamisha kwa kuendekeza starehe badala ya kazi. natumaini wanunuzi binafsi wataruhusiwa.
  • watu wengi kutoka mikoa mbali mbali (wachaga kibao) wameanza kuvamia misitu na kuiuza au kulima so kwa sasa kumechangamka sana tofauti na 2011 wakati naanza.
  • expectations zangu mwaka huu ni ........35(eka) x 400(kg) x 2500(bei/kg)=35,000,000.
  • NB: 400kg kwa eka ni kiwango cha chini cha mavuno, wataalamu wa chuo cha naliendele waliniambia kwa mbegu zao za lindi 2002 na malada natakiwa nipate 1200kg kwa eka. Vijana wapo shamba wanachakarika na mi nipo mjini namtumikia mkoloni (ajira).

Thanks kwa wote:

UKITAKA KUUJUA UTAMU WA NGOMA .......UINGIE UCHEZE.
Naomba tufahamiane kaka najua utakuwa unauwelewa juu ya hili zao na mm ndio natataka kuanza.
 
Habari wadau, Kuna mbegu ya ufuta inaitwa Lindi 202, wazoefu wanasema inakomaa haraka na pia ina kiwango kikubwa cha mafuta, naomba kuuliza mwenye kuweza kunisaidia pakuipata hiyo mbegu, nataka jaribu kuipanda na mimi.
 
Habari wadau, Kuna mbegu ya ufuta inaitwa Lindi 202, wazoefu wanasema inakomaa haraka na pia ina kiwango kikubwa cha mafuta, naomba kuuliza mwenye kuweza kunisaidia pakuipata hiyo mbegu, nataka jaribu kuipanda na mimi.
Upo wapi wewe?
 
Habari wadau, Kuna mbegu ya ufuta inaitwa Lindi 202, wazoefu wanasema inakomaa haraka na pia ina kiwango kikubwa cha mafuta, naomba kuuliza mwenye kuweza kunisaidia pakuipata hiyo mbegu, nataka jaribu kuipanda na mimi.
Mkuu kama uko Dar,pwani au Lindi unaweza kuipata kwa gharama ya 5000 kwa kilo.
 
Habari wadau, Kuna mbegu ya ufuta inaitwa Lindi 202, wazoefu wanasema inakomaa haraka na pia ina kiwango kikubwa cha mafuta, naomba kuuliza mwenye kuweza kunisaidia pakuipata hiyo mbegu, nataka jaribu kuipanda na mimi.
Nenda Morogoro kwenye kiwanda cha mbegu kinaitwa ASA (Agricultural Seed Agency). Ukiwa unatoka Msamvu stand panda daladala za kwenda mjini shukia Komoa, uliza studio za Abood Radio zilipo fuata hiyo barabara ukishavuka hiyo studio mbele kidogo kama mita 500 hivi utakuwa umefika!

Waambie nimeelekezwa na Kaka Job K kwamba hapa nitapata mbegu ya ufuta aina ya Lindi 202?
 
Nenda Morogoro kwenye kiwanda cha mbegu kinaitwa ASA (Agricultural Seed Agency). Ukiwa unatoka Msamvu stand panda daladala za kwenda mjini shukia Komoa, uliza studio za Abood Radio zilipo fuata hiyo barabara ukishavuka hiyo studio mbele kidogo kama mita 500 hivi utakuwa umefika!! Waambie nimeelekezwa na Kaka Job K kwamba hapa nitapata mbegu ya ufuta aina ya Lindi 202?


Shukrani Kaka Job K, Nikipata wasaha nitakwenda huko, na haya maelekezo nita ya piga picha na kuyahifadhi katika simu yangu ya kiganjani ili nisipotee. Ila hawa jamaa hawawezi kuwa na wakala wa usambazaji hizo mbegu Jijini Dar es Salaam?
 
Ya Ufuta si kwamba unalipa sana bali una bei kubwa sana, Make ukiona bei iko juu , tambua kwamba kuna ugumu katika hiyo kazi, so kilimo cha Ufuta mpka ufikishe Gunia moja umelima shamba la kutosha,

Ukiona kitu kinauzwa bei ya juu si kwamba kina lipa no ni bei iko juu kulingana na supply kuwa ndogo, Mfano Huku Arusha kuna KAMPUNI MOJA YA MAUA na kuna aina fulani ya maua huwa ukilima unawauzia Kilo Moja Tsh 300,000/ Ila mziki wa kupata hizo kilo si mchezo unaweza lima ukaishia kupata nusu kilo tu,
Habari!

Napenda kupata taarifa zaidi kuhusu kilimo cha maua. Naomba msaada.
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom