Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

Nimeanza na kuchoma kichaka ekari 5 ili nianze upandaji katikati ya mwezi wa 12 maeneo ya mwaya, moro.
 
Mimi ndugu zangu nataka nijalibu kilimo cha mpunga, nimetafuta mashamba ya kukodi maeneo ya tuliani morogoro wanataka laki 1 kwa kila heka hivyo nimeona bola nikachukue heka 5 japo nilitamani sana heka 10 sema ndo ivyo nina laki 5 tu ya kukodishia shamba, ivi ndugu zangu soko la mpunga likoje na aina gani ya mbegu ni nzuri ni inaweza toa gunia ngapi kwa heka?
 
Hbr za Leo wakuu. Nimeingia jukwaa hili kwa Mara ya kwanza baada ya kuamua kujiongeza kutokana na Sera za huyu Bwa. Mkubwa JPM maana kakaba kila kona. Kifupi nataka kuanza kilimo cha kibiashara na Nina pori langu yangu ambalo halijawahi kulimwa kwa muda mrefu pale mkoa wa pwani maeneo ya Bungu kama unaelekea kibiti.

Nataka kulima aidha mbaazi au ufuta. Swali je, ardhi ya eneo hili inafaa kwa kilimo hiki cha kibiashara? Ni mambo gani ya msingi ya kuzingatia ili kupata faida (zoezi zima la ulimaji na masoko). Haya jamani natanguliza shukrani zangu dhati kwenu wataalamu na wazoefu wa enei hili.
 
Wakuu, bado sijapata ushauri wenu juu maelezo yangu hapo juu ingawa naona kuna watu wameusoma. Au sijaeleweka?
 
Kwanza tafuta bwana shamba ama mtaalamu wa kilimo muende nae shambania aangalie hilo eneo.

Pia ni vyema ukafanya utafiti jirani zako. Wanalima nini lini na msimu gani
 
Wakuu, bado sijapata ushauri wenu juu maelezo yangu hapo juu ingawa naona kuna watu wameusoma. Au sijaeleweka?
Kuna jamaa yango ana shamba maeneo ya Msoro, Bungu km 15km kutoka barabara ya lami. Huko ufuta, nanasi, mihogo, nyanya, mapapai vinalimwa sana. Ardhi ina rutuba nzuri
 
Ilianza 2000 1 kg ikashuka hadi 1500, mwaka huu bei ilikua chini sana,ila mwaka huu nazan itakua juu kwani wakulima wengi wamekata tamaa na bei ya ufuta,hivyo wengi watabadilisha mazao

Mkuu nielekeze nitakapoweza kuuza huu ufuta nina kama kg 400-600 maeneo ya Morogoro
 
Hbr za Leo wakuu. Nimeingia jukwaa hili kwa Mara ya kwanza baada ya kuamua kujiongeza kutokana na Sera za huyu Bwa. Mkubwa JPM maana kakaba kila kona.

Kifupi nataka kuanza kilimo cha kibiashara na nina pori langu yangu ambalo halijawahi kulimwa kwa muda mrefu pale mkoa wa pwani maeneo ya Bungu kama unaelekea kibiti. Nataka kulima aidha mbaazi au ufuta. Swali je, ardhi ya eneo hili inafaa kwa kilimo hiki cha kibiashara? Ni mambo gani ya msingi ya kuzingatia ili kupata faida ( zoezi zima la ulimaji na masoko). Haya jamani natanguliza shukrani zangu dhati kwenu wataalamu na wazoefu wa enei hili.

Nami naingia kwa mara ya kwanza. Eneo la Bungu linafaa sana kwa mazao yote mawili. Ushauri mwingine wa awali ni kwamba ufuta unafanya vizuri sana kwenye ardhi yenye rutuba ya kutosha au kwa kuongezewa rutuba kwa kutumia mbolea za viwandania au mbolea nyinginezo kama samadi n.k. Tahadhari kwenye kilimo cha ufuta: mwanzoni unavyoanza kukua inabidi uwe makini sana kwani kuna wadudu "vibaruti/flea beetle" huwa wanashambulia sana mara unavyoota.

Tukirudi kwenye kilimo cha mbaazi, mbaazi ni zao ambalo ni rahisi sana kulima ukilinganisha na mazao mengine: linafanya vizuri kwenye ardhi yeyote mradi isiwe inatwamisha maji, matumizi ya mbolea sio sana kwa sababu lenyewe linarurtubisha udongo, halishambuliwa na magonjwa sana, huvumilia sana ukame, masoko kwa sasa yapo, n.k.

Mimi ni mjasiriamali wa kilimo kwa ujumla wake. Ukihitaji mbegu/ushauri wa mazao mbalimbali yakiwemo hayo tuwasiliane (kwa sasa mawasiliano ni Whatsapp namba +602442496 au email: ackundya@hotmail.com). Nakutakia kila la heri.
 
Nenda maeneo ya home town KILWA, kafanye search juu ya hayo mazao. Huwa tunalima mashamba ya ufuta, mbaazi na..

Search guide: ardhi -Hali ya hewa & mvua.

By raiahuru Tanzania toka Tabora.
 
Nami naingia kwa mara ya kwanza. Eneo la Bungu linafaa sana kwa mazao yote mawili. Ushauri mwingine wa awali ni kwamba ufuta unafanya vizuri sana kwenye ardhi yenye rutuba ya kutosha au kwa kuongezewa rutuba kwa kutumia mbolea za viwandania au mbolea nyinginezo kama samadi n.k. Tahadhari kwenye kilimo cha ufuta: mwanzoni unavyoanza kukua inabidi uwe makini sana kwani kuna wadudu "vibaruti/flea beetle" huwa wanashambulia sana mara unavyoota.

Tukirudi kwenye kilimo cha mbaazi, mbaazi ni zao ambalo ni rahisi sana kulima ukilinganisha na mazao mengine: linafanya vizuri kwenye ardhi yeyote mradi isiwe inatwamisha maji, matumizi ya mbolea sio sana kwa sababu lenyewe linarurtubisha udongo, halishambuliwa na magonjwa sana, huvumilia sana ukame, masoko kwa sasa yapo, n.k. Mimi ni mjasiriamali wa kilimo kwa ujumla wake. Ukihitaji mbegu/ushauri wa mazao mbalimbali yakiwemo hayo tuwasiliane (kwa sasa mawasiliano ni Whatsapp namba +602442496 au email: ackundya@hotmail.com). Nakutakia kila la heri.
Kaka naomba mchanganuo kidogo wa kulima ufuta na mbaazi,sana sana changamoto na faida yake kwa ujumla
 
Nami naingia kwa mara ya kwanza. Eneo la Bungu linafaa sana kwa mazao yote mawili. Ushauri mwingine wa awali ni kwamba ufuta unafanya vizuri sana kwenye ardhi yenye rutuba ya kutosha au kwa kuongezewa rutuba kwa kutumia mbolea za viwandania au mbolea nyinginezo kama samadi n.k. Tahadhari kwenye kilimo cha ufuta: mwanzoni unavyoanza kukua inabidi uwe makini sana kwani kuna wadudu "vibaruti/flea beetle" huwa wanashambulia sana mara unavyoota.

Tukirudi kwenye kilimo cha mbaazi, mbaazi ni zao ambalo ni rahisi sana kulima ukilinganisha na mazao mengine: linafanya vizuri kwenye ardhi yeyote mradi isiwe inatwamisha maji, matumizi ya mbolea sio sana kwa sababu lenyewe linarurtubisha udongo, halishambuliwa na magonjwa sana, huvumilia sana ukame, masoko kwa sasa yapo, n.k. Mimi ni mjasiriamali wa kilimo kwa ujumla wake. Ukihitaji mbegu/ushauri wa mazao mbalimbali yakiwemo hayo tuwasiliane (kwa sasa mawasiliano ni Whatsapp namba +602442496 au email: ackundya@hotmail.com). Nakutakia kila la heri.
Pia masoko yake ni ya uhakika?
 
Naomba kwa anayefahamu changamoto za zao la ufuta nipate msaada

Shambani kwangu ufuta unabadilika rangi rangi kuwa njano then kukauka wakati ndio unaelekea kutoa maua.

960cd936843dc3835cb40408bfe4f823.jpg
c97715ec514825b2afac5967188f4113.jpg
091acafb13ff251c7b15b49b7b3dac36.jpg
 
Back
Top Bottom