Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
Kiongozi hebu nsaidie kunipa elimu juu ya hilo zao. Nimeskia likitajwa tajwa sasa ni vyema tukawa na taarifa kamili ili tujue kuwa kuna opportunity pia kwenye zao la ufuta. Ningependa jua yafuatayo.Wakuu,
Naomba msaada;
1. Je, ufuta unastawi Nachingwea?
2. Na ni aina gani ya mbegu na zinapatikana wapi?
Ahsanteni
1. Soko lake lipoje?
2. Kwenye hekali moja unaweza pata kilo ngapi na kilo moja inauzwaje sokoni??
3. Linachukua miezi mingap hadi kuvunwa
4. Ni maeneo gani yanastawisha zao hili
5. Ni viatilifu vipi vinasumbua zao hili
6. Total cost za kulima zao hili kwa hekali moja
7. Expected profit kwa heka moja.
Ukitueleza haya utakuwa umeshiriki katika kuelimisha umma wa watanzania.
cc - Don Mangi .................................kwa msaada zaidi