DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,663
- 3,882
Jamani wadau wa jukwaa la biashara naomba mnisaidie kuhusu hii kitu. Ninafikiria kuhusu hii biashara ya ufuta, ila sijui chochote.
Kwa hiyo naombeni msaada wenu katika hili, mahali inapopatikana nzuri na bei nzuri, soko lilipo (mauzo pia ubora unaohitajika), jinsi nnavyoweza kupata profit vizuri, changamoto na kila kitu kuhusu hiyo bisahara, nawasilisha maswali yangu kwa ma great thinkers naombeni msaada wenu.
Kwa hiyo naombeni msaada wenu katika hili, mahali inapopatikana nzuri na bei nzuri, soko lilipo (mauzo pia ubora unaohitajika), jinsi nnavyoweza kupata profit vizuri, changamoto na kila kitu kuhusu hiyo bisahara, nawasilisha maswali yangu kwa ma great thinkers naombeni msaada wenu.