Luckytz
Senior Member
- Jul 5, 2018
- 126
- 141
Habari mkuukwema wakuu!
nimepitia uzi huu kabla sijajaribu kulima kitunguu saumu. nimekumbana na changamoto hii (tazama picha)....
Hilo tatizo linasababishwa na maji kuwa mengi kwenye mmea, hilo zao halitaki maji mengi kama unalima kwa kutegemea mvua lazima iwe hivo na kitunguu haitatengeneza punje, na kama unatumia njia ya umwagiliaji, mwagilia kila baada ya siku 7-9 utapata matokeo mazuri.