Wadau nimejaribu kufuatilia taarifa mbalimbali za kilimo cha zao tajwa hapo juu. Kwa sasa nahitaji kupata maarifa kadha wa kadha kuhusu kilimo cha zao hili. Maswali yanayogonga kichwani mwangu ni;

1. Kwa uptodate data, wapi naweza kupata mbegu kwa uraahisi
2. Mbegu kiasi gani (kilo ngapi, au gunia ngapi zinatosha kwa ekari moja
3. Mbegu hizo zinapatikana kwa bei gani kwa sasa.

Nimejaribu kufuatilia mtandaoni, lakini posts zingine ni za miaka ya nyuma ambayo inaweza isiwe realistic kwa sasa hivi 2018 TZ ya Magufuli

Karibuni wazoefu.
Napenda Sanaa kilimo Cha vitunguu, ila Sina A,B,C.. za kilimo hiki.. Tafadhari mwenye uelewa na aliewahi kulima au mpk Sasa analima naomba anijuze ktk hili wadau..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujuzwa bei ya vitunguu maji Kwa sasa sehemu yoyote ulipo mdau mfano kariakoo, arusha, mwanza
 
Kwnza unataka kulima mbegu ya aina gani, na maeneo gani ambayo unahitaji kwenda kulima kutokana na ardhi yake
 
Mbegu ya muda mfupi siku 60 hadi 80 unavuna inaitwa Red Creole. Mavuno yake ni tani 14 hadi 20 kwa ekari
Inasambazwa na kampuni ya Seed-co 0736210909
 
1538986908342.png

1538986953624.png
 
WAKUU NAUZA MBEGU YA KITUNGUU GUNIA LA DEBE SITA SH 2400000 YANI DEBE 400000 MBEGU NI RED CREOLE NJOO PM TUFANYE BIASHARA
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom