Nahamishaje mkuu nisaidie jinsi ya kuhama jukwaaIngependeza jukwaa la kilimo. wakulima wengi hupitia huko na wanayo majibu.
Unauza Bei gani kwa kipimo gani?!Ninauza mm mbegu red bombay ni nzuri karibu ndugu 0744619828
Napima kwa lita ambapo kila lita ni 25000Unauza Bei gani kwa kipimo gani?!
Pooa nmekucheki whatsapp 0744619828Tutafutane kaka
0652603278
Habari za humu wakuu,,mm ni mgeni haswa kitaka michakato ya kilimo hiki cha vitunguu ,,nlitaka kuanza Lima naweza pata muongozo kutoka kwenu wAdau,,nipo arusha ,nlitaka jua maeno sahihi ya kilimo hiki kwa arusha ,gharama na lini n miezi yake,,upatakanaji wa maeneo na being zake pia ,,,,msaada wakuuMalila unaweza kunipa mwanga kidogo kuhusu bei za hayo maeneo ya Ruaha na hayo mengine kama unafahamu. Nataka nikasurvey na angalau kabla sijaenda huko nijue bei ya kununua kwa eka au ya kukodi kwa eka.
Kilimo Kwanza!
Acre 1 ni kg ngp mkuu?Napima kwa lita ambapo kila lita ni 25000