Milioni moja?
Inategemea unalimia wapi?
Inategemea umwagiliaji kwa pampu au mifereji au mvua
Uzoefu wangu huku Kilosa huu:
Mbegu lita 7 kwa ekari @ 25,000/= jumla 175,000/=
Kuandaa kitalu 20,000/=
Kusia mbegu 10,000/=
kutunza kitalu 30,000/=
kukodi shamba 100,000/=
kufyeka shamba 48,000/=
kukatua udongo 64,000/=
kulainisha udongo 48,000/=
kutengeneza majaruba 25,000/=
kupandikiza 160,000/=
dawa ya kuua magugu 40,000/=
palizi mara mbili 100,000/=
Mbolea mifuko mitatu 210,000/=
Mtu wa kuweka mbolea mara mbili 10,000/=
madawa kuua wadudu na magonjwa 50,000/=
mpiga dawa wiki kumi 50,000/=
kung'oa 50,000/=
kukata vitunguu gunia mia 200,000/=
usafiri 100,000/=
chanja kukodi 100,0000
umwagiliaji petrol 2500 x lita 5 x wiki 10 = 125,000/=
mtu wa kumwagilia 5000 x wiki 10 = 50,000
JUMLA KUU = 1,855,000/=

Kwa wastani ni mil 2
 
Malila unaweza kunipa mwanga kidogo kuhusu bei za hayo maeneo ya Ruaha na hayo mengine kama unafahamu. Nataka nikasurvey na angalau kabla sijaenda huko nijue bei ya kununua kwa eka au ya kukodi kwa eka.

Kilimo Kwanza!
Mkuu kama ulipata au una detaila za kitunguu mbuyuni hebu tutaftane plz
 
Kaveli naomba tuwasiliane 0763370175
Mkuu kilimomaarifa.tajiri, niaje kiongozi.

Ebana naomba utalaamu/uzoefu wako katika hili:

Ili kupata mavuno MENGI yenye ubora (katika kilimo chochote kile), je mkulima atumie mbolea ipi.... ya kienyeji (samadi) ama ya kiwandani (DAP, CAN, NPK, n.k) ama achanganye/atumie zote awamu kwa awamu?

Huku mashambani kumekuwa na mkanganyiko mkubwa. Baadhi ya wakulima wanasema kuwa mbolea ya kienyeji ndo inafaa kuanzia kupanda mpk mwisho mavuno, ila ya kiwandani inaharibu rutuba ya asili (inaua ardhi). Wengine wanasema ya kiwandani ndo inafaa zaidi kuanzia kupanda mpk mwisho kuvuna, inatoa best results (mavuno mengi sana). Wengine pia wanasema ukizitumia zote (I.e ya kienyeji na ya kiwandani, awamu kwa awamu) ndo utapata best results ktk mavuno.

Ni mkanganyiko mkubwa. Hebu wataalamu wa mambo haya tupeni ushauri wenu katika hili.

-Kaveli-
 
Nataka kulima vitunguu, eneo Moshi Longoi kwa wale wanaofahamu.. kule Longoi wanalima sana vitunguu... naomba msaada kujua aina nzuri ya mbegu, na nitavuna kiasi gani kwa hekari moja... pia gharama za kulima hekari moja itanigharimu Tsh ngap?
 
nasubiri details za hiki kilimo, especially natamani zaidi nipate majibu ya kilimo cha vitunguu swaumu.
 
Nataka kulima vitunguu, eneo Moshi Longoi kwa wale wanaofahamu.. kule Longoi wanalima sana vitunguu... naomba msaada kujua aina nzuri ya mbegu, na nitavuna kiasi gani kwa hekari moja... pia gharama za kulima hekari moja itanigharimu Tsh ngap?
Karibu ninauza mbegu pia napatikana moshi 0763370175
 
mkuu napatikana mang'ola wilayani karatu, karibu kw upatikanaji wa mbegu bora za vitunguu ,Nimkulima mzuri wa mbegu ya vitunguu na vituguu kwa ujumla kw mawasiliano 0765456685
 
Nataka kulima vitunguu, eneo Moshi Longoi kwa wale wanaofahamu.. kule Longoi wanalima sana vitunguu... naomba msaada kujua aina nzuri ya mbegu, na nitavuna kiasi gani kwa hekari moja... pia gharama za kulima hekari moja itanigharimu Tsh ngap?
Andaa kama milioni 2 kwa hekari moja. Mimi nililima sehemu inaitwa Kikuletwa ipo takribani km 13 kusini mwa mji mdogo wa Bomang'ombe wilaya ya hai. Maji ya uhakika na raha ya hapa wakati wa mavuno huwa sehem nying za kanda ya kaskazin wanakuwa wamevuna.

Kwa tuliovuna mwezi wa pili mwaka huu gunia tumeuza kwa 200,000/= mpaka 180,000/= na wanaweka kweny net na sio magunia ya katani. Wafanyabiashara wanunuzi wengi wakenya wanafika mpaka shambani.

Karibu Kikuletwa
 
Andaa kama milioni 2 kwa hekari moja. Mimi nililima sehemu inaitwa Kikuletwa ipo takribani km 13 kusini mwa mji mdogo wa Bomang'ombe wilaya ya hai. Maji ya uhakika na raha ya hapa wakati wa mavuno huwa sehem nying za kanda ya kaskazin wanakuwa wamevuna.

Kwa tuliovuna mwezi wa pili mwaka huu gunia tumeuza kwa 200,000/= mpaka 180,000/= na wanaweka kweny net na sio magunia ya katani. Wafanyabiashara wanunuzi wengi wakenya wanafika mpaka shambani.

Karibu Kikuletwa

Ni pm msangi!!
 
Andaa kama milioni 2 kwa hekari moja. Mimi nililima sehemu inaitwa Kikuletwa ipo takribani km 13 kusini mwa mji mdogo wa Bomang'ombe wilaya ya hai. Maji ya uhakika na raha ya hapa wakati wa mavuno huwa sehem nying za kanda ya kaskazin wanakuwa wamevuna.

Kwa tuliovuna mwezi wa pili mwaka huu gunia tumeuza kwa 200,000/= mpaka 180,000/= na wanaweka kweny net na sio magunia ya katani. Wafanyabiashara wanunuzi wengi wakenya wanafika mpaka shambani.

Karibu Kikuletwa
Vipi uhakiaka wa upatikanaji wa mashamba hapo?
 
Andaa kama milioni 2 kwa hekari moja. Mimi nililima sehemu inaitwa Kikuletwa ipo takribani km 13 kusini mwa mji mdogo wa Bomang'ombe wilaya ya hai. Maji ya uhakika na raha ya hapa wakati wa mavuno huwa sehem nying za kanda ya kaskazin wanakuwa wamevuna.

Kwa tuliovuna mwezi wa pili mwaka huu gunia tumeuza kwa 200,000/= mpaka 180,000/= na wanaweka kweny net na sio magunia ya katani. Wafanyabiashara wanunuzi wengi wakenya wanafika mpaka shambani.

Karibu Kikuletwa
Samahan umepata gunia ngap n ume2mia mbegu gan,difficulties if any...
 
Wanajamzi kama kichwa kinavyojieleza hapo juu naombeni ushauri wenu kwa wale ambao anafahamu aina hii ya kilimo kuanzia
Mbegu bora
Madawa
Soko
Na kwa hekari moja unaweza ukapata gunia ngapi kwa makadirio ya juu na ya chini pia
Naomba mnieleze mambo yote muhimu yakuzingatia wakati wakulima na ni msimu upi mzuri kulima na upatikanaji wa soko na bei ya soko kwa kg au gunia
Napia naomba kufahamishwa gharama za kuhudumia heka moja kuanzia hatua ya awali mpaka nitakapo vuna mazao shambani
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu asanteni na karibuni kwa mawazo yenu Wanajamvi
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom