jimmykb197
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 465
- 430
Naam, ukitaka kupata hela weka hela!Hapo inategemea na mbegu gani atatumia ila kwa mbegu bora ni m3 kwa eka
Mbegu kuna red bombay elf 65 per kg na eka ni kg3 ya mbegu unapata from gunia 50 mpaka 70 kwa eka ,wachache wanafika gunia 80,meru super (improved op) kg1 ni tsh 98,000/= eka moja kg 2 na return kwa eka gunia 70 mpaka 100 ,neptune kg 1 tsh 370,000/= na eka moja ni kg1.5 return kwa eka ni gunia 100 mpaka 120 ,jambar kg 1 tsh laki 9 na kwa eka moja ni kg1 ya mbegu return ni gunia 200 mpaka 250 kwa eka .
Hivyo mbegu inaaffect mavuno na gharama ,kilimo bora ni cha hybrid seeds so kuanzia Meru super,neptune,jambar etc
Since mbolea na dawa ni zile zile bora mtu aongeze mavuno kwa mbegu bora