King kingo
JF-Expert Member
- Sep 6, 2010
- 401
- 26
Sisi mabepari utatuweza lakini? Au unasema !!!!!!!
Kama unataka kwenda Ruaha Mbuyuni kwa ajili ya kitunguu nenda,ukiweza nenda Kibakwe Mpwapwa pia kuna bonde zuri sana na wanalima pia kibiashara. Nenda Mbeya vijijini kuna kitunguu cha kufa mtu au kajichanganye Karatu( Mang`ola),
Maeneo hayo bei ziko juu, kama hutajali nenda kafanye survey bonde moja huko Kipatimu, watu wanalima vitunguu pia,huko bei ya ardhi inaweza kuwa karibu na bure.
Shime nenda shambani leo usingoje kesho.
Mkuu huko Kipatimu ni wapi haswa?