steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,566
- 10,272
Duh,asante sana mkuu,hii info ni muhimu sanaMkuu bei yake ni laki 3 na nusu na ni zao ghali sana hili
Kwa UK kg moja ni £445 (1,3m hivi
Duh,asante sana mkuu,hii info ni muhimu sanaMkuu bei yake ni laki 3 na nusu na ni zao ghali sana hili
Kwa UK kg moja ni £445 (1,3m hivi
Mhhh, mwaka huu, Morogoro(Matombo), Vanilla imekuwa haieleweki bei. Wakulima wa Vanilla Matombo walichukuliwa vanilla zao na kuambiwa kutokana na Corona, bei haieleweki kwenye soko la dunia. Baada ya mwezi wakaletewa elf 5,000 kwa kilo, alafu wakaongezewa elf 9,000/=. Kwahiyo mwaka huu vanilla Morogoro imeuzwa kwa elfu 14,000/= kwa kg 1. Ni zao gumu kwenye uchavushaji ua lake, ulimwa zaidi kwenye migomba inayopenyeza jua kwa kiasi kidogo. Ebu nipeni soko Lake zinapouzwa.Mkuu bei yake ni laki 3 na nusu na ni zao ghali sana hili
Kwa UK kg moja ni £445 (1,3m hivi
Morogoro, Matombo eneo la juu la milima ya Uluguru zinakubari sana, zinatoa masuke makubwa sana kwenye migomba ya ndizi. Tatizo madalali wanalalia sana.Vipi kwa maeneo ya Morogoro inakubali?
Mhhh, mwaka huu, Morogoro(Matombo), Vanilla imekuwa haieleweki bei. Wakulima wa Vanilla Matombo walichukuliwa vanilla zao na kuambiwa kutokana na Corona, bei haieleweki kwenye soko la dunia. Baada ya mwezi wakaletewa elf 5,000 kwa kilo, alafu wakaongezewa elf 9,000/=. Kwahiyo mwaka huu vanilla Morogoro imeuzwa kwa elfu 14,000/= kwa kg 1. Ni zao gumu kwenye uchavushaji ua lake, ulimwa zaidi kwenye migomba inayopenyeza jua kwa kiasi kidogo. Ebu nipeni soko Lake zinapouzwa.
Duh,asante sana mkuu,hii info ni muhimu sana
Hiyo yng ilikuwa ni kitambo sana,sasa hv itakuwa sahihi hyo yako au hyo nyingine,hili zao ni balaa sana,sio kwa bei hizoHiyo ndio bei nilikuwa naijua kwani kuna wakati kabla ya mambo ya corona ( kama mdau hapo juu alieweka bei ya sasa)
Niliongea na jamaa Kagera akaniambia anauza kwa laki 3.5/kg ila kama imeshuka hivyo ni hatari
Hizi sio mindset za kushea na watafutaji mkuu. Kila kitu kinatakiwa kitafutiwe solution yake.Mkoa wa kagera hasa wilaya ya Missenyi, kulima vanilla ni kuweka maisha yako rehani.. wahuni wanaiba hata kabla haijakomaaa wanauza Uganda kilo 200k na kuendelea.
Kuna mzee nimeona kazungushia shamba la vanilla electric fence na na camera na mataa kama yote.
Kuna mashamba mengine walinzi wamechinjwa ili vanilla ichukuliwe.
Ukifanikiwakulima vanilla na ikakomaa bila shida au wizi, fungu lake ni nono sana.
Mkuu Matombo mashamba ya kununua yanapatikana?Morogoro, Matombo eneo la juu la milima ya Uluguru zinakubari sana, zinatoa masuke makubwa sana kwenye migomba ya ndizi. Tatizo madalali wanalalia sana.
Morogoro, Matombo eneo la juu la milima ya Uluguru zinakubari sana, zinatoa masuke makubwa sana kwenye migomba ya ndizi. Tatizo madalali wanalalia sana.