Ni miaka 2 hadi 3 kutegemea urefu wa mmea uliopandwa na matunzoNasubiri pia
Mi nataka kujua masoko yake,huku kwetu Kweuma Wilaya ya Mvomero tunailima sana ila wanunuzi wanatuambia eti kg ni elf70 wakati tetesi ni laki2.5.
Hawatupigi kweli???
Vipi kwa maeneo ya Morogoro inakubali?Kwa wanaohitaji miche ya vanilla,inapatikana SUA,horticulture
Bei ya mche sh 3000.Kwa mawasiliano zaidi 0719527062
ndio mkuuVipi kwa maeneo ya Morogoro inakubali?
Mkuu uko serious tufanye biashara?mimi nanunua nipigie simu 0652472486
Sent from my iPhone using JamiiForums
Katika mkoa wa Kagera zinalimwa sana hivi sasa ila pollination inawapa shida sana
Mi nataka kujua masoko yake,huku kwetu Kweuma Wilaya ya Mvomero tunailima sana ila wanunuzi wanatuambia eti kg ni elf70 wakati tetesi ni laki2.5.
Hawatupigi kweli???