Kilimo cha Vanilla nchini Tanzania

Mkuu,
Msije mkaingia kichwa kichwa,mambo sio marahisi hivyo, Mosi Taarifa VANILLA INTERNATIONAL LIMITED kwa kiasi kikubwa sio kweli, Marando ya vanilla bei yake sio 20,000= bei yake ina range kati ya 3000 mpaka 5000

Bei ya vanilla duniani mara nyingi inapanda na kushuka na hii inategemea hali ya soko la Madagascar ambao ni waalishaji wakubwa duniani...kwahiyo mwaka huu inawea ikawa kubwa mwaka ujao ikawa ndogo, tangu nianze kulima vanilla sijawahi na wala sijui kama ntakaa niue kilo moja beans kwaaidi ya TSH Milioni kama wanavyotangaa

Ushauri wangu...kilimo cha vanilla sio kibaya ila kabla ya kuingia tambua

1- Ni labor intensive , uchavushaji wa vanilla unatumia mikono

2-WeZi; kwa maeneo hususan ya kagera na baadhi ya maeneo ya kilimanjaro kipindi cha mavuno kunakuwa na wii mkubwa saana

3- Jua soko lko au soko la hao wanaukulimia, kwa kiasi kikubwa wakulima wengi wanaingia hasara kutokana na kutokujua soko lake, mtu anaenda kulima akishakaribia kuvuna ndio anarudi mezani kaunza kufirikia atamuuzia nani...hapa nashauri kabla hujaenda sokoni plz anza kutafuta soko kwanza ikiwezekana ingia namnunuzi mkataba

4...Jifunze utambue ABC za vanilla, hii itakusaidia kuepusha kudanganjwa

5- Nashaurii ukilima vanilla plz panda kwenye shamba lako mwenyewe, mche wa vanilla unaweza dumu mpaka miaka 40 ukiangaliwa na kuhudiumiwa vizuri

Hitimisho

Mimi nalima vanila kwa mkataba ( contract farming), mapato yake sio kama yanavyotangazwa na hawa wajasiriamali. ninaliama na kampuni ya .....Natural Extracts Industries Ltd...hawa ndio wanaonunua, na wananipa huduma za ugani

Muwe na kilimo chema
Umenena vizuri sana mkuu na kutoa honyo juu ya kukurupuka
 
Waungwa na habari ya majukumu. Tafadhari naomba kujua bei ya vanila kwa sasa. Na hasa wap naweza pata mteja. Tafadhari mwenye abc anijulishe.
 
Biashara ya Vanilla inalipa sana ila kwa Tz naona bado sana
Nimenunua na kuuza sana ila ilikuwa inatoka Madagascar na unatuma hela mzigo unapokea Airport bila longolongo na uaminifu mkubwa
Hii biashara kuna nchi wanalima na wanalinda kwa bunduki kwani ni ghali mno

Bukoba kuna watu wanalima.. wameweka mpaka electrical fence na mataa makali yanawaka usiku.. na mlinzi juu
 
Mkuu,
Msije mkaingia kichwa kichwa,mambo sio marahisi hivyo, Mosi Taarifa VANILLA INTERNATIONAL LIMITED kwa kiasi kikubwa sio kweli, Marando ya vanilla bei yake sio 20,000= bei yake ina range kati ya 3000 mpaka 5000

Bei ya vanilla duniani mara nyingi inapanda na kushuka na hii inategemea hali ya soko la Madagascar ambao ni waalishaji wakubwa duniani...kwahiyo mwaka huu inawea ikawa kubwa mwaka ujao ikawa ndogo, tangu nianze kulima vanilla sijawahi na wala sijui kama ntakaa niue kilo moja beans kwaaidi ya TSH Milioni kama wanavyotangaa

Ushauri wangu...kilimo cha vanilla sio kibaya ila kabla ya kuingia tambua

1- Ni labor intensive , uchavushaji wa vanilla unatumia mikono

2-WeZi; kwa maeneo hususan ya kagera na baadhi ya maeneo ya kilimanjaro kipindi cha mavuno kunakuwa na wii mkubwa saana

3- Jua soko lko au soko la hao wanaukulimia, kwa kiasi kikubwa wakulima wengi wanaingia hasara kutokana na kutokujua soko lake, mtu anaenda kulima akishakaribia kuvuna ndio anarudi mezani kaunza kufirikia atamuuzia nani...hapa nashauri kabla hujaenda sokoni plz anza kutafuta soko kwanza ikiwezekana ingia namnunuzi mkataba

4...Jifunze utambue ABC za vanilla, hii itakusaidia kuepusha kudanganjwa

5- Nashaurii ukilima vanilla plz panda kwenye shamba lako mwenyewe, mche wa vanilla unaweza dumu mpaka miaka 40 ukiangaliwa na kuhudiumiwa vizuri

Hitimisho

Mimi nalima vanila kwa mkataba ( contract farming), mapato yake sio kama yanavyotangazwa na hawa wajasiriamali. ninaliama na kampuni ya .....Natural Extracts Industries Ltd...hawa ndio wanaonunua, na wananipa huduma za ugani

Muwe na kilimo chema
Ubarikiwe sana Chifu kwa kutushirikisha uzoefu wako.
 
Siku zote kilimo cha magazetini huwa kina faida sana! Yani mpaka unajiuliza kwahiyo hao wakulima wengine huwa wanafeli wapi?
 
Maneno mengi lakini hakuna hata mtu aliyeweka connection ya mnunuzi/soko
Wabongo maselfish

Ova
 
Maneno mengi lakini hakuna hata mtu aliyeweka connection ya mnunuzi/soko
Wabongo maselfish

Ova
Haya ni baadhi ya makampuni yanayonunua vanilla hapa Tz,MARUKU FARMING AND PROCESSING INDUSTRY,KAVANIFA.Tembelea pages zao kwa maelezo zaidi
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom