Kilimo cha Vanilla nchini Tanzania

Biashara ya Vanilla inalipa sana ila kwa Tz naona bado sana
Nimenunua na kuuza sana ila ilikuwa inatoka Madagascar na unatuma hela mzigo unapokea Airport bila longolongo na uaminifu mkubwa
Hii biashara kuna nchi wanalima na wanalinda kwa bunduki kwani ni ghali mno
 
Mkuu,
Msije mkaingia kichwa kichwa,mambo sio marahisi hivyo, Mosi Taarifa VANILLA INTERNATIONAL LIMITED kwa kiasi kikubwa sio kweli, Marando ya vanilla bei yake sio 20,000= bei yake ina range kati ya 3000 mpaka 5000

Bei ya vanilla duniani mara nyingi inapanda na kushuka na hii inategemea hali ya soko la Madagascar ambao ni waalishaji wakubwa duniani...kwahiyo mwaka huu inawea ikawa kubwa mwaka ujao ikawa ndogo, tangu nianze kulima vanilla sijawahi na wala sijui kama ntakaa niue kilo moja beans kwaaidi ya TSH Milioni kama wanavyotangaa

Ushauri wangu...kilimo cha vanilla sio kibaya ila kabla ya kuingia tambua

1- Ni labor intensive , uchavushaji wa vanilla unatumia mikono

2-WeZi; kwa maeneo hususan ya kagera na baadhi ya maeneo ya kilimanjaro kipindi cha mavuno kunakuwa na wii mkubwa saana

3- Jua soko lko au soko la hao wanaukulimia, kwa kiasi kikubwa wakulima wengi wanaingia hasara kutokana na kutokujua soko lake, mtu anaenda kulima akishakaribia kuvuna ndio anarudi mezani kaunza kufirikia atamuuzia nani...hapa nashauri kabla hujaenda sokoni plz anza kutafuta soko kwanza ikiwezekana ingia namnunuzi mkataba

4...Jifunze utambue ABC za vanilla, hii itakusaidia kuepusha kudanganjwa

5- Nashaurii ukilima vanilla plz panda kwenye shamba lako mwenyewe, mche wa vanilla unaweza dumu mpaka miaka 40 ukiangaliwa na kuhudiumiwa vizuri

Hitimisho

Mimi nalima vanila kwa mkataba ( contract farming), mapato yake sio kama yanavyotangazwa na hawa wajasiriamali. ninaliama na kampuni ya .....Natural Extracts Industries Ltd...hawa ndio wanaonunua, na wananipa huduma za ugani

Muwe na kilimo chema
 
MOTIVESHENI SUPIKAZ 😅😅

Vanilla uchavushaji inampasa binadamu mkulima kukesha mashambani akihamisha pollens kwenye maua from male to female parts,

Pia huwezi kulima kwenye open space kazi na kuwe na kivuli n.k
Ni changamoto na huvunwa inapokuwa inakauka kuelekea kuharibika, ili iwe ya kiwango cha quality nzuri.

Wengi hapo kwenye uchavushaji ni tatizo pia hali ya hewa, usipochavusha hakuna mavuno ya vanilla.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Nilimsikia baba levo akipiga porojo kuhusu hio vannila ila kwa spana nilizopigwa mashambani hamna jinsi utanishauri nilime!
Watu walime mie ntanunua tu kisha niuze katika soko langu nalojua mimi!
 
MOTIVESHENI SUPIKAZ

Vanilla uchavushaji inampasa binadamu mkulima kukesha mashambani akihamisha pollens kwenye maua from male to female parts,

Pia huwezi kulima kwenye open space kazi na kuwe na kivuli n.k
Ni changamoto na huvunwa inapokuwa inakauka kuelekea kuharibika, ili iwe ya kiwango cha quality nzuri.

Wengi hapo kwenye uchavushaji ni tatizo pia hali ya hewa, usipochavusha hakuna mavuno ya vanilla.

Everyday is Saturday...............................

Unaielewa vizuri sana hili zao
Bora umetoa darasa la pollination
 
Nilimsikia baba levo akipiga porojo kuhusu hio vannila ila kwa spana nilizopigwa mashambani hamna jinsi utanishauri nilime!
Watu walime mie ntanunua tu kisha niuze katika soko langu nalojua mimi!
Wezi hao, swagga nyingi, hawaongelei ugumu wa kuchavusha, iwe jua iwe mvua, hizo siku za kupata mimba maua usipochavusha basi, usubirie msimu ujao,
Na bei wanazokuja nazo ni uongo mtupu.
Wanaandika bei ya vanilla iliyokuwa graded highest quality huko ulaya na siyo shambani Matombo huko.

Hawana tofauti na Namaingo, Kijani kibichi n.k

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Wezi hao, swagga nyingi, hawaongelei ugumu wa kuchavusha, iwe jua iwe mvua, hizo siku za kupata mimba maua usipochavusha basi, usubirie msimu ujao,
Na bei wanazokuja nazo ni uongo mtupu.
Wanaandika bei ya vanilla iliyokuwa graded highest quality huko ulaya na siyo shambani Matombo huko.

Hawana tofauti na Namaingo, Kijani kibichi n.k

Everyday is Saturday............................... :cool:
Wale wa kupenda hesabu za kwenye makaratasi wataingia 18% na watabutuliwa kama kawaida
 
MOTIVESHENI SUPIKAZ

Vanilla uchavushaji inampasa binadamu mkulima kukesha mashambani akihamisha pollens kwenye maua from male to female parts,

Pia huwezi kulima kwenye open space kazi na kuwe na kivuli n.k
Ni changamoto na huvunwa inapokuwa inakauka kuelekea kuharibika, ili iwe ya kiwango cha quality nzuri.

Wengi hapo kwenye uchavushaji ni tatizo pia hali ya hewa, usipochavusha hakuna mavuno ya vanilla.

Everyday is Saturday...............................

Machame, Kilimanjaro zinalimwa kwenye open space.
 
Wale wa kupenda hesabu za kwenye makaratasi wataingia 18% na watabutuliwa kama kawaida
😅 Kilimo cha WhatsApp, ngoja wauziwe marando ya vanilla, wakifikiria hicho sawa na kilimo cha tembele Kibaha au manumbu Gairo.

Tusubirie mirejesho ya wakurupukaji!

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Huyu jamaa wa Vanila international ni tapeli though ni mzur katika marketing. Kabla ya hapo alikuwa na kampuni anaiita greenhouseinteenational.ltd.

Sasa hivi kaja na mbinu nyingine. Jamaa ni opportunist mzuri sana.
Screenshot_20210421-081428_Instagram.jpg
 
Salama wanajamvi , sitaki kuandika mengi sana ila wakulima wa nchi hii wanapitia mengi sana magumu hasa kutokana na ukosefu wa taarifa sahihi na utaalamu , basi ngoja niwaletee stori ambayo nimeitoa kwenye group Moja la WhatsApp kuhusu kilimo cha Vanilla je ni kweli? Kila mmoja adondoshe comment yake Ili tupate maarifa , naanza na hawa jamaa wa Vanilla international huwa nawasikia sana

C&P
VANILLA INTERNATIONAL LIMITED
napenda kukualika KWENYE kilimo Cha Hela nyingi Cha ZAO LA VANILLA. Wekeza pesa kwa ili tukusaidie kukujengea Banda kitalu yaani SHAMBA kitalu (GREENHOUSE) kwa ajili ya KUKUPANDIA marando ya VANILLA ambayo ndilo zao namba moja kwa kuzaa sana na kwa kuwa na BEI KUBWA KWA KILO MOJA. Wastani wa BEI YA VANILLA NI TZS 1,500,000/=

MATARAJIO YA MAVUNO YA VANILLA:
Mche mmoja wa VANILLA INAZAA matawi 10 kwa mwaka na kampuni ya VANILLA INTERNATIONAL LIMITED inanunua matawi(marando) kwa Tzs 20,000/= kwa kila random(#VANILLACUTTINGS).
Hii Ina maana kuwa mche mmoja wa VANILLA utakuzalishia Tzs 200,000/= kwa kila MWAKA KWA KUUZA MARANDO TU(#VANILLACUTTINGS). Kwa hiyo ukiwa na Miche 100 itakuzalishia Tzs Milioni 20 kwa KUUZA MARANDO YA VANILLA (#VANILLACUTTINGS).

VANILLA BEANS (MAHARAGE YA BANILLA):
Mche mmoja wa VANILLA UNAZAA kilo 15 kwa wastani na Bei ya Vanilla mbichi kwa kilo ni TZS 220,000/= na hivyo kukupatia mpaka Tzs 3,000,000/= kwa mche mmoja. Kwa KIFUPI ZAO LA VANILLA LINA PESA KULIKO MRADI WOWOTE WA KILIMO. I MEAN VANILLA HAIFANANI NA MAHINDI, KAHAWA, KUNDE, PARACHICHI,MITI, MAHARAGE, VIAZI, STRAWBERRY, NDIZI WALA MPUNGA KAMA ULE MRADI WA MASANJA MKANDAMIZAJI.

MAADA itaendelea hivi karibuni.
Ila waweza kupata baadhi ya GHARAMA ZA GREENHOUSES ZA VANILLA:
UKUBWA (SQM). ..... BEI(000,000/=)
40. 3
72. 4
120. 6.2
200. 8.7
300. 12
400. 18
600. . 22
800 . 25
ROBO HEKA . 33
NUSU HEKA . 56
HEKA. 87
HEKA 2. 140
HEKA 4. 200.

(Negotiable).
Nb: LAZIMA UWE NA MTAJI
Mkoa gani vanilla inastawi
 
Mkuu,
Msije mkaingia kichwa kichwa,mambo sio marahisi hivyo, Mosi Taarifa VANILLA INTERNATIONAL LIMITED kwa kiasi kikubwa sio kweli, Marando ya vanilla bei yake sio 20,000= bei yake ina range kati ya 3000 mpaka 5000

Bei ya vanilla duniani mara nyingi inapanda na kushuka na hii inategemea hali ya soko la Madagascar ambao ni waalishaji wakubwa duniani...kwahiyo mwaka huu inawea ikawa kubwa mwaka ujao ikawa ndogo, tangu nianze kulima vanilla sijawahi na wala sijui kama ntakaa niue kilo moja beans kwaaidi ya TSH Milioni kama wanavyotangaa

Ushauri wangu...kilimo cha vanilla sio kibaya ila kabla ya kuingia tambua

1- Ni labor intensive , uchavushaji wa vanilla unatumia mikono

2-WeZi; kwa maeneo hususan ya kagera na baadhi ya maeneo ya kilimanjaro kipindi cha mavuno kunakuwa na wii mkubwa saana

3- Jua soko lko au soko la hao wanaukulimia, kwa kiasi kikubwa wakulima wengi wanaingia hasara kutokana na kutokujua soko lake, mtu anaenda kulima akishakaribia kuvuna ndio anarudi mezani kaunza kufirikia atamuuzia nani...hapa nashauri kabla hujaenda sokoni plz anza kutafuta soko kwanza ikiwezekana ingia namnunuzi mkataba

4...Jifunze utambue ABC za vanilla, hii itakusaidia kuepusha kudanganjwa

5- Nashaurii ukilima vanilla plz panda kwenye shamba lako mwenyewe, mche wa vanilla unaweza dumu mpaka miaka 40 ukiangaliwa na kuhudiumiwa vizuri

Hitimisho

Mimi nalima vanila kwa mkataba ( contract farming), mapato yake sio kama yanavyotangazwa na hawa wajasiriamali. ninaliama na kampuni ya .....Natural Extracts Industries Ltd...hawa ndio wanaonunua, na wananipa huduma za ugani

Muwe na kilimo chema
Umeeleza vyema sana mtaalamu , lengo langu lilikuwa watu kujua , hii naona ni aina mpya ya upigaji tuu hakuna msaada wowote kwa mkulima
 
Huyu jamaa wa Vanila international ni tapeli though ni mzur katika marketing. Kabla ya hapo alikuwa na kampuni anaiita greenhouseinteenational.ltd.

Sasa hivi kaja na mbinu nyingine. Jamaa ni opportunist mzuri sana. View attachment 1758946
Hiyo green house international iliishia wapi mzee niliisikia sana pia , walikuwa wanasema Wana soko kubwa Comoro
 
Mkuu,
Msije mkaingia kichwa kichwa,mambo sio marahisi hivyo, Mosi Taarifa VANILLA INTERNATIONAL LIMITED kwa kiasi kikubwa sio kweli, Marando ya vanilla bei yake sio 20,000= bei yake ina range kati ya 3000 mpaka 5000

Bei ya vanilla duniani mara nyingi inapanda na kushuka na hii inategemea hali ya soko la Madagascar ambao ni waalishaji wakubwa duniani...kwahiyo mwaka huu inawea ikawa kubwa mwaka ujao ikawa ndogo, tangu nianze kulima vanilla sijawahi na wala sijui kama ntakaa niue kilo moja beans kwaaidi ya TSH Milioni kama wanavyotangaa

Ushauri wangu...kilimo cha vanilla sio kibaya ila kabla ya kuingia tambua

1- Ni labor intensive , uchavushaji wa vanilla unatumia mikono

2-WeZi; kwa maeneo hususan ya kagera na baadhi ya maeneo ya kilimanjaro kipindi cha mavuno kunakuwa na wii mkubwa saana

3- Jua soko lko au soko la hao wanaukulimia, kwa kiasi kikubwa wakulima wengi wanaingia hasara kutokana na kutokujua soko lake, mtu anaenda kulima akishakaribia kuvuna ndio anarudi mezani kaunza kufirikia atamuuzia nani...hapa nashauri kabla hujaenda sokoni plz anza kutafuta soko kwanza ikiwezekana ingia namnunuzi mkataba

4...Jifunze utambue ABC za vanilla, hii itakusaidia kuepusha kudanganjwa

5- Nashaurii ukilima vanilla plz panda kwenye shamba lako mwenyewe, mche wa vanilla unaweza dumu mpaka miaka 40 ukiangaliwa na kuhudiumiwa vizuri

Hitimisho

Mimi nalima vanila kwa mkataba ( contract farming), mapato yake sio kama yanavyotangazwa na hawa wajasiriamali. ninaliama na kampuni ya .....Natural Extracts Industries Ltd...hawa ndio wanaonunua, na wananipa huduma za ugani

Muwe na kilimo chema
Mkuu samahani naomba mawasiliano yako ,nahitaji kujua zaidi maana huku niliko watu wanafuatilia kiukaribu hii issue ya vanilla kwa hiyo nakuomba unipe namba yako au Kama ikiwezekana nibip tu namba hii hapa 0673034335, Natanguliza shukrani Asante
 
Back
Top Bottom