Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,440
- 45,715
Biashara ya Vanilla inalipa sana ila kwa Tz naona bado sana
Nimenunua na kuuza sana ila ilikuwa inatoka Madagascar na unatuma hela mzigo unapokea Airport bila longolongo na uaminifu mkubwa
Hii biashara kuna nchi wanalima na wanalinda kwa bunduki kwani ni ghali mno
Nimenunua na kuuza sana ila ilikuwa inatoka Madagascar na unatuma hela mzigo unapokea Airport bila longolongo na uaminifu mkubwa
Hii biashara kuna nchi wanalima na wanalinda kwa bunduki kwani ni ghali mno