Msaada kilimo cha hoho

Jamani acheni tu, nina matikiti yanaharibikia ndani. Watu wananunua kwa shida kwani wanasema soko no baya sana. Kilimo ni wendawazimu.
 
Mzigo huo wadau nishalima
Mkuu naomba msaada wa elimu. Nina shamba maeneo ya kisarawe nataka kulima Pilipili mbuzi. Naomba kujua yafuatayo:-

1. Ni mwezi gani ninatakiwa kulima na kupanda?

2. Mbegu bora, mbolea na dawa.

3. Mahitaji mengine muhimu.

Natanguliza shukrani.
 
Matikiti bado yapo? Please write me back

Mkuu niliishia kuyauza kwa bei ya kutupa na mengi yaliharibika nikawapa mbuzi. Mkuu mm kwangu kilimo kimeniachia maumivu yasiyoisha. Mpaka najiuliza kweli Adam na Hawa walipelekwa bustanini? Mbona sisi wa shambani ndio tunaumia sana wakati watu wa maofisini wanaishi vizuri?
 
Mkuu niliishia kuyauza kwa bei ya kutupa na mengi yaliharibika nikawapa mbuzi. Mkuu mm kwangu kilimo kimeniachia maumivu yasiyoisha. Mpaka najiuliza kweli Adam na Hawa walipelekwa bustanini? Mbona sisi wa shambani ndio tunaumia sana wakati watu wa maofisini wanaishi vizuri?
Mkuu kulima ni hatua ya kwanza, hatua ya pili ni soko. Tafuta soko wiki 4 kabla ya kuvuna. Mm nipo dar pale buguruni kuna soko zuri sana la matikiti maji. Ningekusaidia kufanya mipango ukauza vizuri tu. Usikate tamaa. Chukulia kama ni funzo kwa jaribu ulilopata.
 
Mkuu kulima ni hatua ya kwanza, hatua ya pili ni soko. Tafuta soko wiki 4 kabla ya kuvuna. Mm nipo dar pale buguruni kuna soko zuri sana la matikiti maji. Ningekusaidia kufanya mipango ukauza vizuri tu. Usikate tamaa. Chukulia kama ni funzo kwa jaribu ulilopata.
Sawa mkuu
 
Wadau naomba ushauri kuhusu soko la cherry tomatoes (red and yellow) kwa mkoa wa dar. Nimelima morogoro natarajia kuvuna baada yya miezi miwili
 
Soko la mboga mboga hutafutwa au huanishwa 3months before decision being made. Vinginevyo ni majanga[/QUOTmseminati Mimi ndio nimemaliza kusafisha Shamba nataka kupata description demand ya mteja Wa hoho ili toka mwanzo nianze kwa kufocus kumit demand yake, nina mabanda mawili ya greenhouse yenye uwezo Wa kuchukua miche 600 kila moja
 
Wakuu Mimi ndio nimeshalisafisha Shamba natafuta mteja ili nikianza kulima nianze nikiwa na focus kumit description demand ya mteja, eg, anataka hoho nyekundu, au njano au green, kama anapreference ya seed ambayo angependa niitumie, in short ni kucustomize hoho ili kumit wat the customer wants. Nna greenhouse 2 zenyekuweza kuchukua miche 600 kila moja.
 
Habari, ndugu mimi ni mgeni kbs ktk kilimo ila sasa nimeamua kulima hasa pilipili hoho, naombeni eleimu ya zao hilo, Ahsanteeni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom