Msaada kilimo cha hoho

Just being curious..... Unalima kisha unatafuta Soko au unatafuta Soko ukipata ndio Unalima..... Naomba kujuzwa maana napata wasiwasi ikitokea Soko likakosekana na mazao yamekoma itakuwaje hapo.

Mleta Mada nahisi ulikosea kitu sehemu fulani wakati wa maandalixi ya huu mradi wa kilimo Cha mbogamboga.
Duuuuu utafute soko bila kuanza kulima utaonekana hauko serious, nadhani mtoa mada yako correct
 
Habari za humu wadau.
Nlkua naomba kujua soko la pilipili hoho za yellow na red kwa mkoa wa Arusha na mikoa jirani pia limekaaje. Nataka nianze kulima hizo hoho mwezi wa 11/12 mwaka huu kwenye green house.
Maoni/ushauri wadau.
Asanteni.
 
Nalim kupitia greenhouse nalima hoho njano na nyekund nitafut kwa nmba hii 0628016757 nitakuelekez soko lipo usiogop
 
Habari WanaJamiiForums, natafuta masoko ya pilipili mbuzi na hoho nina mzigo wa kutosha baada ya week 2. Mpaka sasa sijajua ntapeleka soko gani ni kilimo changu cha kwanza.
 
habari wanajamii forum, natafuta masoko ya pilipili mbuzi na hoho nina mzigo wa kutosha baada ya week 2. mpaka sasa sijajua ntapeleka soko gani ni kilimo changu cha kwanza.
Soko lipo Chief kama upo Dar nenda soko la mabibo pale pili pili mbuzi utauza hata kama una roba mia.....asikudanganye mtu pili pili mbuzi zikishuka bei roba ni 45000-50000tshs....kuanzia November zinafika mpaka 240,000tshs kwa roba ya debe tano....
 
Wakuu hivi kuna tofauti gani kati ya pilipili hoho nyekundu au njano na hizi za kawaida? Je ni kweli bei yake ibatodautiana?
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom