King Loto
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,573
- 1,344
Nataka nijaribu hii project kwa bidii sana, naangalia ni jamii gani ya parachichi zinaweza kufika sokoni maana hizi oviusly ni mali kuoza.
Nataka nijue production yake ni ya kiasi gani au yield per cultivation over area kwenye jamii itayo tajwa kuwa the best.
Hii project nitaifanyia Kilimanjaro, binafsi nimeona ni kilimo kizuri japo siyo cha muda mfupi kama wengi wanavofikiria kupenda kulima muda mfupi.
Mimi napata changamoto ya kuzalisha Miche tu au kuwa na Miche ya kutosha inavyotakikana maana natarajia kupanda eneo kubwa kidogo ili mavuno yawe ya kutosha niuze kibiashara hata ifike mahali niwapelekee wajomba zangu wakenya japo wao hawana eneo la kulima kibiashara nawaona wakinunua sana na wamenipa hii idea, Sasa nipeni madini na pia nipeni solution mtakayopendekeza ya changamoto yangu ya Miche.
Anayeweza kunitatulia changamoto ya Miche tayari anapata fursa kwangu. Nasubiri ABCD kutoka kwenu.
Nataka nijue production yake ni ya kiasi gani au yield per cultivation over area kwenye jamii itayo tajwa kuwa the best.
Hii project nitaifanyia Kilimanjaro, binafsi nimeona ni kilimo kizuri japo siyo cha muda mfupi kama wengi wanavofikiria kupenda kulima muda mfupi.
Mimi napata changamoto ya kuzalisha Miche tu au kuwa na Miche ya kutosha inavyotakikana maana natarajia kupanda eneo kubwa kidogo ili mavuno yawe ya kutosha niuze kibiashara hata ifike mahali niwapelekee wajomba zangu wakenya japo wao hawana eneo la kulima kibiashara nawaona wakinunua sana na wamenipa hii idea, Sasa nipeni madini na pia nipeni solution mtakayopendekeza ya changamoto yangu ya Miche.
Anayeweza kunitatulia changamoto ya Miche tayari anapata fursa kwangu. Nasubiri ABCD kutoka kwenu.