Kilimo cha parachichi Rungwe(Tukuyu) vs Njombe

mwanyaluke

JF-Expert Member
Jan 22, 2015
470
1,443
Nataka nifanye kilimo cha parachichi, nimeambiwa zinalimwa Njombe na mkoani Mbeya has a wilaya ya Rungwe, swali langu ni wapi rahisi kupata shamba kati ya sehemu hizo, changamoto za maeneo hayo ni zipi na wapi soko ni zuri kati ya maeneo hayo.
 
Mku hujaona tangazo la shamba humu limewekwa wiku iliopita? Uzuri wa njombe unaweza nunua hata heka 200 na vyanzo vya maji ni vingi.Tukuyu unaunga unga viplot, ardhi imejaa migomba,miti na kilimo cha viazi.Uzuri wa tukuyu ardhi haikauki mwaka mzima, njombe ardhi inakauka usipomwagilia miti ikiwa michanga inakufa yote.
 
Mku hujaona tangazo la shamba humu limewekwa wiku iliopita? Uzuri wa njombe unaweza nunua hata heka 200 na vyanzo vya maji ni vingi.Tukuyu unaunga unga viplot, ardhi imejaa migomba,miti na kilimo cha viazi.Uzuri wa tukuyu ardhi haikauki mwaka mzima, njombe ardhi inakauka usipomwagilia miti ikiwa michanga inakufa yote.
Miaka 10 ijayo njombe itakuwa kiwanda cha parachi Afrika .
 
Yaweza kuwa kinyume. Watakuwa weshaifyeka hiyo miti kutokana na hiyo kitu kuwa na changamoto ya soko.
Kwani imekuwa korosho.Parachichi inatoa product nyingi sana, isitoshe TZ inalika sana.Kenya wana mkataba na China wa Tani laki moja kila mwaka na hawana mashamba ya kitosheleza oda, watanzania wameamka ktk ulaji wa matunda.Mkuu we endelea kusubiri waajgati wenzio wanapanda maheka na maheka na bado zinauzwa. Mimi binafsi nakusudia kutafuta soko langu dogo hapa hapa bongo na nchi za jirani.Hakuna nchi eti parachicgi ziliwahi kosa soko basi TZ itakuwa yakwanza. Losheni,mafuta jwisi halafu ukose soko kweli.Binafsi sintakuja kukosa soko,mungu kanipa akili ntazitumia watakao subiri mzungu ndio watafeli sioni kabisa dalili ya kufeli.Manchi yate ya jangwani hayna parachichi ,zikitufia utakuwa ni ujinga wetu.
 
Kwani imekuwa korosho.Parachichi inatoa product nyingi sana, isitoshe TZ inalika sana.Kenya wana mkataba na China wa Tani laki moja kila mwaka na hawana mashamba ya kitosheleza oda, watanzania wameamka ktk ulaji wa matunda.Mkuu we endelea kusubiri waajgati wenzio wanapanda maheka na maheka na bado zinauzwa. Mimi binafsi nakusudia kutafuta soko langu dogo hapa hapa bongo na nchi za jirani.Hakuna nchi eti parachicgi ziliwahi kosa soko basi TZ itakuwa yakwanza. Losheni,mafuta jwisi halafu ukose soko kweli.Binafsi sintakuja kukosa soko,mungu kanipa akili ntazitumia watakao subiri mzungu ndio watafeli sioni kabisa dalili ya kufeli.Manchi yate ya jangwani hayna parachichi ,zikitufia utakuwa ni ujinga wetu.
Tunda pekee lisilokuwa na msimu wa bei. Anafikiri ni maparachichi ya kienyeji
 
Kama hakuna kizuizi kwa mtu yeyote anayetaka kulima hizo kitu kuna siku zitadoda tu. Hakuna soko lisilo na kikomo.
 
Kwani imekuwa korosho.Parachichi inatoa product nyingi sana, isitoshe TZ inalika sana.Kenya wana mkataba na China wa Tani laki moja kila mwaka na hawana mashamba ya kitosheleza oda, watanzania wameamka ktk ulaji wa matunda.Mkuu we endelea kusubiri waajgati wenzio wanapanda maheka na maheka na bado zinauzwa. Mimi binafsi nakusudia kutafuta soko langu dogo hapa hapa bongo na nchi za jirani.Hakuna nchi eti parachicgi ziliwahi kosa soko basi TZ itakuwa yakwanza. Losheni,mafuta jwisi halafu ukose soko kweli.Binafsi sintakuja kukosa soko,mungu kanipa akili ntazitumia watakao subiri mzungu ndio watafeli sioni kabisa dalili ya kufeli.Manchi yate ya jangwani hayna parachichi ,zikitufia utakuwa ni ujinga wetu.
Soko la ndani sawa lakin la nje ni gumu kwa mazao mengi hatuna vigezo kama ilivyo Kenya kwenye exportation ya maua na mboga
 
Soko la ndani sawa lakin la nje ni gumu kwa mazao mengi hatuna vigezo kama ilivyo Kenya kwenye exportation ya maua na mboga
Hass ni aina ya parachichi inayosafirishwa nje. inalimwa sana njombe, tukuyu, iringa na sanya. Inalimwa kwa kufuata vigezo vinavyohitajika masoko ya ulaya kupitia mfumo wa certification kwa wakulima. Wapo wanaolima bila mfumo huu na wanauza kama kawaida. Utunzaji wa shamba ni kama kuku wa kisasa kama huna hela usiingie huku
 
Back
Top Bottom