kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Nimepanda parachichi miaka kadhaa iliyopita huko kwetu Kusini, soko ikaporomoka parachichi zikaoza nikakosa pa kuzipeleka nikatamani nifuge Mbwa wanisaidie kula yanapoanguka lakini too late
Najuta kuacha kulima miti ya mbao nikadamganyika na faida ya parachichi bila kujiuliza Kuna viwanda nchini vya kununua parachichi au Hadi south?
Tumelima wengi lakini sioni juhudi za kufunguliwa kiwanda Tanzania, tutapata hasara tena na ten hasa kipindi hiki Cha COVID. Serikali mpo tayari tufuge Mbwa?
Je, wakinenepa tutawauza wapi?
Najuta kuacha kulima miti ya mbao nikadamganyika na faida ya parachichi bila kujiuliza Kuna viwanda nchini vya kununua parachichi au Hadi south?
Tumelima wengi lakini sioni juhudi za kufunguliwa kiwanda Tanzania, tutapata hasara tena na ten hasa kipindi hiki Cha COVID. Serikali mpo tayari tufuge Mbwa?
Je, wakinenepa tutawauza wapi?