DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,433
Nimecheka sana sana.
Nimegalagala chini kwenye sakafu kwa kicheko huku nikitoa sauti kubwa sana.
Dunia ina vichekesho kama ya chama changu cha mapinduzi ,Kuna wakati mambo yanabana mpaka tunakuwa motivational speakers kujaribu kujibu hoja ambazo tunajua tumekosea.
All in all, Hii ya kufuga Cobra hawaelezei siku uking'atwa bei ya kujitibu ni kiasi gani?
Wengi ya hawa motivotional speakers ni choka mbaya ,wanatafuta suti mbili kwa ajili ya kufanyia semina wao hawana hata mradi wa kufuga sisimizi tu.
Hata hivyo uchaguzi huu tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa.