CoderM
Senior Member
- Jun 15, 2015
- 102
- 272
Narudia tena kilimo cha nyanya msimu mwingine wa masika baada ya kumalizana na kiangazi.
Msimu uliopita nilipanda miche 1000 tu kama sehemu ya kujifunza kwa vitendo.
Matokeo yalikua sio mazuri sana kutokana na makosa ya kitaalamu lakini nimejifunza mengi sana kwenye kilimo cha nyanya.
Msimu huu nitalima kwenye green house na kwenye open field.
Greenhouse nitatumia mbegu ya Anna F1 miche 700
Open field nitatumia mbegu ya Faida F1(msimu uliopita ilifanya vizuri pamoja na kukosa matunzo muhimu nimeamua kuirudia tena) hii nitapanda miche 2500.
Kwa green house nitaweka mbegu kwenye kitalu kuanzia tar 1 Nov
Kwa open field nitaweka mbegu tar 10 Nov
Napokea maoni na ushauri, na nitakua natoa mrejesho huku kinachoendelea mpaka mavuno.
Location Songea
Msimu uliopita nilipanda miche 1000 tu kama sehemu ya kujifunza kwa vitendo.
Matokeo yalikua sio mazuri sana kutokana na makosa ya kitaalamu lakini nimejifunza mengi sana kwenye kilimo cha nyanya.
Msimu huu nitalima kwenye green house na kwenye open field.
Greenhouse nitatumia mbegu ya Anna F1 miche 700
Open field nitatumia mbegu ya Faida F1(msimu uliopita ilifanya vizuri pamoja na kukosa matunzo muhimu nimeamua kuirudia tena) hii nitapanda miche 2500.
Kwa green house nitaweka mbegu kwenye kitalu kuanzia tar 1 Nov
Kwa open field nitaweka mbegu tar 10 Nov
Napokea maoni na ushauri, na nitakua natoa mrejesho huku kinachoendelea mpaka mavuno.
Location Songea