nitazoea
Senior Member
- Mar 15, 2017
- 195
- 237
Wadau naomba kujua yafuatayo katika kilimo cha nyanya mkoani Morogoro
1.Mbegu bora kwa Hali ya hewa ya Morogoro na inayozaa sana
2.Msimu mzuri wa kilima nyanya yenye soko zuri
3.Mchanganuo wa gharama ya kuendesha ekari moja kwa umwagiliaji
4.Hasara zinazotokea kwenye kilimo cha nyanya
5.Faida pia
6.Masoko ya nyanya
KARIBU TUBADILISHANE UJUZI....
JEMBE HALIMTUPI MTU
Ahsante,karibu sana kwa mchango wa mawazo.
1.Mbegu bora kwa Hali ya hewa ya Morogoro na inayozaa sana
2.Msimu mzuri wa kilima nyanya yenye soko zuri
3.Mchanganuo wa gharama ya kuendesha ekari moja kwa umwagiliaji
4.Hasara zinazotokea kwenye kilimo cha nyanya
5.Faida pia
6.Masoko ya nyanya
KARIBU TUBADILISHANE UJUZI....
JEMBE HALIMTUPI MTU
Ahsante,karibu sana kwa mchango wa mawazo.