Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

Tz hamna bwn wala bi shamba. Waulize kuhusu madawa utashangaa anavojingata na majibu yasiyoeleweka
 
Huu ni ugonjwa gani wadau na ninawezaje kuutibu
IMG_20190320_153623.jpeg
IMG_20190320_153604.jpeg
IMG_20190320_152626.jpeg
IMG_20190320_152504.jpeg
IMG_20190320_152532.jpeg
IMG_20190320_153536.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye tunda na kwenye shina yote ni bacterial diseases, huwa hazina dawa ila atleast ukitumia kati ya dawa yenye copper, sulphur au mancozeb zinapunguza usambaaji na pia huweza kuponesha michache.

Chukua tancopper changanya na ebony 80 (dawa yoyote yenye copper na yenye mancozeb) kisha upige ili isisambae maeneo mengine na pia uipunguze kasi

Few years from now you may wish you should have started today...
 
Kwenye tunda na kwenye shina yote ni bacterial diseases, huwa hazina dawa ila atleast ukitumia kati ya dawa yenye copper, sulphur au mancozeb zinapunguza usambaaji na pia huweza kuponesha michache.

Chukua tancopper changanya na ebony 80 (dawa yoyote yenye copper na yenye mancozeb) kisha upige ili isisambae maeneo mengine na pia uipunguze kasi

Few years from now you may wish you should have started today...
Shukrani brother, aksante mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani mie nimelima nyanya aina ya mwanga. Nilikuwa nataka kuanzisha greenhouse ili nilime na wakati wa masika, naomba kwa wanaojua gharamaa zake kwa kila kitu.
 
Wana JamiiForums,

Kama mjuavyo mleta maendeleo katika Nchi yetu nzuri ya Tanzania kwanza ni Mimi mwenyewe binafsi,hivyo neamua kujiajiri katika kilimo has a kilimo cha Nyanya,ninaomba elimu kwa wataalamu na wabobezi ktk Nyanya, mnieleweshe hatua za uandaaji wa kitalu cha kuotesha mbegu kuanzia I navy often gene kwa na mbolea no IPI nzr kupandia,je nikiweka samadi lazima niweke hizi za dukani kama ndiyo ni zipi.

Je, kwenye kitalu lazima niweke dawa je ni IPI, ninapohamisha mche mbolea gani inatakiwa ya kupandia na nitapanda baada ya mda gani, dawa gn nzr kwa kinga ya magonjwa na wadudu.
 
Kama umeweza kupata bando ya kuingia JF naamin unabando ya kutosha kuweza kugugo hayo maelezo unayo hitaji kuliko kututesa utake tuandike majibu marefu kama magazeti hapa.
 
Kwenye tunda na kwenye shina yote ni bacterial diseases, huwa hazina dawa ila atleast ukitumia kati ya dawa yenye copper, sulphur au mancozeb zinapunguza usambaaji na pia huweza kuponesha michache.

Chukua tancopper changanya na ebony 80 (dawa yoyote yenye copper na yenye mancozeb) kisha upige ili isisambae maeneo mengine na pia uipunguze kasi

Few years from now you may wish you should have started today...
safi sana mtaalam kwa kutupa ujuzi... ivi ukitaka ugonjwa huu usiingie shambani unafanyaje
 
Asante mkuu,
Ila nina swali lingine, je una uzoefu na mbegu tofauti tofauti? Ni mbegu zipi zinaongoza kwa sifa ya kustahimili magonjwa, na yenye kuzaa sana na inayoweza kuvunwa muda mrefu?
Lima mbegu chotara (hybrid)mfano assila f1 eden f1 kwa kifupi mbegu za f1
 
Wapendwa wana JF, Happy New Year!

Jamani nina interest ya kulima nyanya kibiashara. Naomba ushauri juu ya utunzaji wa shamba, mimea hadi matunda pamoja na challenges. Nina imani nyanya zinaweza kunitoa, kwa muono wangu.

Wenye ujuzi naomba msaada.

Thanks in advance.

Je ni aina gani ya nyanya inastahimili maeneo ya joto?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom