pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,362
- 2,501
naona wadau wametugomea
wapo njiani mkuu, usikate tamaa. Ila fikiria Greenhouse kuliko kufanya kilimo cha nyanya kwenye shamba la wazi kwa wakati wa mvua.
naona wadau wametugomea
wapo njiani mkuu, usikate tamaa. Ila fikiria Greenhouse kuliko kufanya kilimo cha nyanya kwenye shamba la wazi kwa wakati wa mvua.
greenhouse ndo my target ila nachotaka nipate mtaji kwanza wa kuwekeza kwenye hiyo. Nina heka 7 mlandiz ambazo nataka nizigeuze full green house now ufugaji with nguruwe
wadau naomba mwenye uzoefu wa kilimo hiki hasa kipindi cha masik. Nataka nianze mwezi wa kumi ili nivune kama mwez wa kwanza kipind mvua inapokuwa kali na nyanya kuwa adimu. Shamba lipo mbeya ukubwa wa eka mbili. Mtaji nataka niweke maziimum wa 3mil kwa eka zote mbili. Naomba mnisaidie challenge nitakazokutana nazo mbegu nitatumia anna f1
cc: Malila
mbeya sehemu gani mku?soko la nyanya na maeneo yakulima mbeya ni mazuri na soko lake ni nzuri huwez kuchemka kuhusu soko.kuhusu shamba andaa mbegu kwenye kitalu mwezi wa9 ili upande wamwezi 10 na kutoa wa kumi nambili mwishoni nasoko n nzuri sbb unakutana na xmass na mwakampya.pendekezo tumia mbegu aina ya eden usitumie ana f1.ana inakazikubwa sna kw shambakubwa.
Eden ni kwa eka ni debe2400.
Eden ni kwa eka ni debe2400.
Na mi nataka nilime hizo za kumwagilia na mvua mwz wa 11 pande za dom,,nasubiri majibu
kaka naomba usituchoke kwa maswali wengine ni vilaza kwenye hii fan njaa tu ndo inatusumbua.
km unalima maeneo makubwa usilime ana sbb kuu garama nakazi yake nikubwa sna,unahitaji vijana wakaz wakudumu,tofouti na eden haina kaz kubwa sna.ila ana inazao kubwa sna,,fanya hvi km unataka kulima eka3 fanya hvi lima eden eka2 na ana eka1.hapo unaweza kumanage shamba lako.mm hofu angu ww kuwa mgeni wa aina yakilimo unayotaka kufanya ndyo mana nakushauri eden kipindo hcho mvua haitakusumbua
greenhouse ndo my target ila nachotaka nipate mtaji kwanza wa kuwekeza kwenye hiyo. Nina heka 7 mlandiz ambazo nataka nizigeuze full green house now ufugaji with nguruwe
nashukuru sana kaka, hata nitalima kwa kutumia vijana, tayari ninae mmoja ambae ndo anasimamia kilimo changu hao wengine lazima tu.
Source of water??
Muhimu Kwa Zimgatia Dawa Sna Napia Kwa Maeneo Ya Mbeya Soko La Ana Cyo Nzuri Sna Ukilinganisha Na Eden Napia Ana Ganda Lake Cyo Gumu Sna Km Eden Kuharibika Haikawi Ndyo Mana Wateja Wengi Kwa Mbeya Haipendelei.
Drillingdrilling na kuvuna kipind cha mvua
habari jf senior, nimeona ujumbe wako kuhusu ushauri wa kilimo, sisi balton tanzania ltd tunatoa huduma zifuatazo;
mbegu bora za nyanya inaitwa shanty f1,ina ngozi ngumu ambayo inaweza kukaa kwa mda mrefu baada ya kuvuna (shelf life). Pili kilimo unachotaka kufanya anza mwezi 8 au 9 ili uvune mwezi wa 11-3 kwa mbegu ya shanty f1, lakini ukitaka kilimo chenye tija zaidi nakushauri utumie drip irrigation ili ikusaidie wakat wa kipindi cha kiangazi (off season), nazo tunatoa kwanzia 250sqm mpaka 4000sqm(1acre) na bei zetu ni nafuu, kwa mazungumzo zaidi tuwasiliane kwa 0714 919019
namba ya simu ya nn?weka bei hapa watu wote waone.na production yake vip