teflon_1880
Member
- Jun 14, 2016
- 49
- 9
Kwann usishee hapa na wengine tufaidike mkuu?Mkuu nmekuomba nitafute chemba
Kwann usishee hapa na wengine tufaidike mkuu?Mkuu nmekuomba nitafute chemba
business strategicKwann usishee hapa na wengine tufaidike mkuu?
Ah ndo kwa kuficha vitu vya msingi kama hvyo mkuu?business strategic
Habari wanaJF eti nifanye nini ili nyanya zisiliwe na ndege?? Ahsanten
Hata kwangu haifungukiHaifunguki
Watu wote hao wasema haifunguki, ina maana huelewi? Ni kweli haifunguki.bofya katikati kwenye alama nyekundu akibofya kwenye text itakupeleka Youtube
Pia tazama data network coverage yako
Habari wanajamvi,
Nataka kuanzisha kilimo cha nyanya kwa njia za kisasa - green house. Naomba contact contact za wataalamu ili niwasiliane nao kwa ushauri wa namna ya kuanzisha kilimo hicho. Nipo mkuranga.
Asante sana
KaribuAsante sana
Mabwana shamba wahuni