Kilimo cha mwani

Ailars David

Senior Member
Jul 6, 2017
128
35
Mwani ni majani yanayoota kwenye uso wa maji chumvi (baharini)

Mwani kilimo chake si kigumu Kwani mkulima atahitaji tu kujua namna ya kuweka mwani kwenye maji na kisha kuuhudumia

Zao la mwani linasoko kubwa Sana ndani na nje ya nchi kwani mwani hutumika kutengeneza mafuta, sabun, dawa, chocolate, lotion na vipodoz mbal mbali pamoja na ice cream!

Wakulima wa mwani wanachangamoto tu kwenye upande wa bei ya gram za ukaushwaji kwani unapovuna gunia utakausha mwani wako kuondoa kiwango cha maji (water content ) utakapokausha utapata nusu gunia! Halafu umelima kwa muda

Lakini changamoto hii huweza kuiepuka kama ukijikita kwenye uzalishaji wa vitu Na bidhaa za mwani


Kwa sasa TZ ni moja ya nchi kumi bora katika uzalishaji wa zao la mwani
Karibu tulime mwani!
Wakulima%20wa%20Mwani%20Z%E2%80%99bar.jpeg
zantel-2.jpeg
IMG_20190908_073333_342.jpeg
 
Mwani ni majani yanayoota kwenye uso wa maji chumvi (baharini)
Mwani kilimo chake si kigumu Kwan mkulima atahitaji tu kujua namna ya kuweka mwani kwenye maji na kisha kuuhudumia
Zao la mwani linasoko kubwa Sana ndan na nje ya nchi
Kwan mwani hutumika kutengeneza mafuta, sabun, dawa, chocolate, lotion na vipodoz mbal mbali pamoja na ice cream!
Wakulima wa mwani wanachangamoto tu kwenye upande wa bei ya gram za ukaushwaji
Kwan unapovuna gunia utakausha mwani wako kuondoa kiwango cha maji (water content ) utakapokausha utapata nusu gunia! Halafu umelima kwa muda
Lakin changamoto hii huweza kuiepuka kama ukijikita kwenye uzalishaji wa vitu Na bidhaa za mwan


Kwa sasa TZ ni moja ya nchi kumi bora katika uzalishaji wa zao LA mwani
Karibu tulime mwani! View attachment 1201316View attachment 1201317View attachment 1201319
Kwa hiyo mkui unamaanisha hiki ni kilimo cha maeneo ya bahari pekee, kwa maana ndiko yanakopatikana maji chumvi
 
Mwani ni majani yanayoota kwenye uso wa maji chumvi (baharini)
Mwani kilimo chake si kigumu Kwan mkulima atahitaji tu kujua namna ya kuweka mwani kwenye maji na kisha kuuhudumia
Zao la mwani linasoko kubwa Sana ndan na nje ya nchi
Kwan mwani hutumika kutengeneza mafuta, sabun, dawa, chocolate, lotion na vipodoz mbal mbali pamoja na ice cream!
Wakulima wa mwani wanachangamoto tu kwenye upande wa bei ya gram za ukaushwaji
Kwan unapovuna gunia utakausha mwani wako kuondoa kiwango cha maji (water content ) utakapokausha utapata nusu gunia! Halafu umelima kwa muda
Lakin changamoto hii huweza kuiepuka kama ukijikita kwenye uzalishaji wa vitu Na bidhaa za mwan


Kwa sasa TZ ni moja ya nchi kumi bora katika uzalishaji wa zao LA mwani
Karibu tulime mwani! View attachment 1201316View attachment 1201317View attachment 1201319
Mkuu, ni wapi unalimia?
 
Back
Top Bottom