Saleem sirlym
New Member
- Oct 2, 2020
- 2
- 2
Natafta. Mtama mweupe wa mbegu kubwa tani 5. 0711299426
aisee sasa ivi sh ngapi ninao kibao kama tani 15 ivi....waweza nipatia connection
TANZANIA BREWERIES, wanao mpango wa kununua mtama ila unaingia mkataba nao , na wanakupa mbegu yao ambayo inatumika kutengeneza beer/ bia. Unaweza kuwasiliana nao kama uko DAR, na maeneo mengine yeney ofisi zaoHabari wadau.
Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha mtama kwa mwenye uzoefu jinsi ya ukulima au upandaji,uzalishaji kwa ekari,uhakika wa soko na changamoto zake
Nimejaribu kupekua hapa na pale sioni habari zake kwa Tanzania na huku Tunduma hata sokoni hakuna anaeuza ingawa kwa Kenya na Ethiopia habari zake ni nyingi na pia inaonesha kuna soko tofauti na kwetu.Hata kwingineko duniani inaonekana ni kilimo kikubwa tofauti na bongo
Natamani kulima kibiashara lakini soko lake vipi kwa hapa bongo?
Kuna shamba kama heka 10, nipo naliandaa, lengo ni kulima alizeti lakini kuna mtu (ye ni mkulima mzoefu kidogo) kanifuata na kunieleza kuhusu hili, kaniambia mbegu wanatoa wao na kununua watanunua wenyewe, hii nimeona kama ni nzuri maana unalima kitu wakati una uhakika wa soko, lakini bado sijashawishika kiivo maana sijajua bei zao ni kiasi gani. Naomba ushauri wako hapa mkuuTANZANIA BREWERIES, wanao mpango wa kununua mtama ila unaingia mkataba nao , na wanakupa mbegu yao ambayo inatumika kutengeneza beer/ bia. Unaweza kuwasiliana nao kama uko DAR, na maeneo mengine yeney ofisi zao
Habari mdau unaweza kuniunganisha na jamaa huyu..mie ni mkulima wa MtamaKuja rafiki yangu yupo bujumbura kapata tender ya 1000kgs za white sorghum anataka afanye importation kutoka TZ
Yeyote mwenye mtama mweupe anijuze nimuunge wakafanye biashara