MWANA ileje
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 750
- 566
Njoo inbox kama unahitaj Mashamba morogoro 0672092403Kwa morogoro mashamba ya kukodi yanapatikana sehemu gani wadau
Njoo inbox kama unahitaj Mashamba morogoro 0672092403Kwa morogoro mashamba ya kukodi yanapatikana sehemu gani wadau
Umechelewa mkuuNashukuru boss kwa maelezo yako ila nikusumbue tena mashamba hamna kwa mwaka huu ni Kwamba nimechelewa yameisha au mwaka huu hawalimi scheme imefungwa
OK poaNjoo inbox kama unahitaj Mashamba morogoro 0672092403
Kosa la kiuandishi tuu mkuu mbona imekuwa kama ugomvii?? Ilimaanisha laki 6-8!!
Hii ndio matumizi sahihi ya jamii forum. Tumeshapata taarifa ya fursa ya kilimo cha mpunga karibia kila pembe ya Tanzania. Bado KATAVI ili kabla ya kuingia kwenye ujasiriamali huo kichwa kichwa uwe umetathmini pro and cons, usije ukaingia kichwa kichwa kama ufugaji wa kware na sungura. Hongera uliyeanzisha uzi
katavi mashamba yanapatikan mpk kwa muda huu ...??
Palizi ya Mpunga nzuri ni mala mbiliJe palizi ya mpunga huwa ni mara ngapi?
Maji mengi mkuu
Waulize wakulima wenzio uliopakana nao wao wanaliona vizur shamba lako na uzoefu waliokuwa nao ktk eneo hilo,lakini pia wanaweza jua au kukuuliza ju ya huduma ulizofanya kama ni kwa kufuata utaalamu au mkumbo!Nimelima hekari tano za mpunga mkoani morogoro wilaya ya mqlinyi je naweza vunq junia ngap wakuu anisaidie kwa alie na uzoefu?
Sent using Jamii Forums mobile app