Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,431
- 2,436
Hujambo mkuu, asante kwa kumjibu vyema! Kwa kuongezea tu super India, nganyaro, mbawa mbili, super Zambia ila kama ndio mkulima unaanza na huna uzoefu wa shamba nashauri MTU alime mbawa mbili! Haina usumbufu sana na inabumilia sana magonjwa
Asante kwa maelezo
sasa mbegu hizi hupatikanaje?