Vicent Goodluck
Member
- Oct 7, 2018
- 61
- 69
Kilimo :
Kilimo, tena cha mpungaKilimo :
Kilimo, tena cha mpungaKilimo :
Molwe naomba mawasiliano yako tafadhaliKosa la kiuandishi tuu mkuu mbona imekuwa kama ugomvii?? Ilimaanisha laki 6-8!!
Mkuu shukrani sana.....ngoja nifanye hvo,Mawazo mazuri sana, kwa umbali huo unahitaji pump ya kawaida (maarufu pump ya bustani).. kwangu mimi boss inch 3 ni nzuri na inadumu bei ni laki 3-4, koromeo mita 6 @10,000, pipe 1 la kitambaa inch 3 yenye mita 100/150 inauzwa 150,000, inch 2 ni 125,000
Utahitaji tank 1 au 2 za lita 3000 na roller pvc 1 mita 150 bei ni 60-70,000.
Nenda hapo mwanza mjini stand ya Sahara barabara ya rwagasore zungukia kila duka piga sound utapata vyote hivyo kwa bei hizo ni wewe tu na sound yako
Hiyo budget inatosha sana kuweka mfumo wa maji
Mkuu nitazingatia hlo ndug, pamoja sanaPia ni vyema ukapima na udongo ili kujua utatumia mbolea ipi na zao gani litakubali vzr zaidi
Hizo njia zote zinawezekana, nimemwambia option ya kuwa na tank kwasababu kuna kipindi huwa tunatumia hayo maji kiwiziwizi na mbaya zaidi usumbufu upo sana iwapo utatumia hizo njia za mifereji. Ukitumia tank inapunguza gharama ya labor unajaza maji kwenye tank, pipe zinapeleka kwenye kila jaluba (kazi yako ni kufunga na kufungua koki)Tank la Maji pamoja na hizo rola hazihitajiki maana mpunga umwagiliaji wake ni kwa njia Flood irrigation (unamwagilia moja kwa moja kwenye majaruba ) hivyo unatakiwa kununua generator na pipe ya kuvuta Maji moja kwa mja mpaka kwenye jaruba au unaweza tengeneza Farrow (mifereji ya kupelekamaji) au tafta mtaalam wa umwagiliaji atakujibu maswali yako yote
Watumieni wataalam wa kilimo
Mkuu Kama umetumia laki 7 kwa heka halafu ukapata wastani wa gunia 17 je bei ya kuuza huwaga ni sh ngp kwa gunia ili upate faidaNipo moshi lower
Kukodi shamba mita mia laki tatu,
Kuhudumia shamba hadi mavuno wastani kama laki 7-8 hivi
Kwa mbegu za huku ni saro 5 na 64 huwa ni muda wa miezi mitatu hadi minne mpaka mavuno..
Kwa mita mia waweza pata gunia 17 hadi ishirini
Bei ikiwa juu sana huwa inafika hadi laki ishirini,ikishuka hata themanini unauza kulingana na uingiaji wa mipunga kutoka maeneo mengine..bei zinakua shindaniM
Mkuu Kama umetumia laki 7 kwa heka halafu ukapata wastani wa gunia 17 je bei ya kuuza huwaga ni sh ngp kwa gunia ili upate faida
Nipo moshi lower
Kukodi shamba mita mia laki tatu,
Kuhudumia shamba hadi mavuno wastani kama laki 7-8 hivi
Kwa mbegu za huku ni saro 5 na 64 huwa ni muda wa miezi mitatu hadi minne mpaka mavuno..
Kwa mita mia waweza pata gunia 17 hadi ishirini