GOYA MNANDA
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 239
- 160
kwa kawaida hekta moja ni kuanzia gunia 8/13 inategemea na matunzo ya shamba kwenye mchele pia inategemea na aina ya mpunga maana kuna ambao kukatika ni nature na mashine pia ila hiyo hesabu yako unazungumzia kuanzia hekta 15