Chodo naomba uni Inbox
Ok nitakuinbox
Chodo naomba uni Inbox
Nashukuru mdau kwa ushauri mzuri coz hilo pia ni jambo la msingi na pia ni tatizo kubwa kwa maendeleo ya nchi hii just imagine watu hawana uwezo wa kulima eneo hilo lakini pia hawataki wanaoweza kulima walime.Ila nashukuru kwa kunijulisha ilo mapema ili nisijeingia kichwa kichwa nikijua kila kitu kipo ok
Re: Naenda Ifakara Kulima Mpunga.
Ni wazo zuri sana, kwani kilimo ukiingia vizuri na kulima kisasa, kitakutoa tu. Hasa kilimo cha umwagiliaji, hivyo nakushauri angana mahindi lia na option ya kule Madibira, Mbeya. Huko kuna kilimo cha mpunga cha umwagiliaji na miundo mbinu ipo tayari. Unaweza kukodi ekari kadri unavyoweza na labour ya kukodi ipo nje nje.
Hebu jaribu hiyo option pia.
Never give up!huyo mzee atakuwa anatumia nguvu za giza maana nimelima sana mpunga sikuwahi kusikia hii.