zamzam dachi
Member
- Dec 6, 2016
- 24
- 9
nahitaji msada wa kilimo hiki 0687 365045 naomba nitafute humuBilashaka mkuu kidogo nipo nje ya eneo nategemea kurudi tareh28 nikifika ntaku pm kama vip twende ukaonane na wenyeji mojkwamoja
nahitaji msada wa kilimo hiki 0687 365045 naomba nitafute humuBilashaka mkuu kidogo nipo nje ya eneo nategemea kurudi tareh28 nikifika ntaku pm kama vip twende ukaonane na wenyeji mojkwamoja
hii kitu nataka kujaribuHi wana JF,
Kuna njia mpya ya kisasa katika kilimo cha mpunga ambayo huweza kuongeza mavuno kwa 50% hadi 100% bila kutumia madawa au mbolea za kisasa.
Kilimo hiki cha kisasa kinaitwa SRI (System of Rice Intensification).
Kilimo hiki cha kitaalamu tayari kinatumika katika nchi kadhaa.
Katika kilimo hiki mpunga hupandwa kwa nafasi ya cm 25 toka shina hadi shina, na pia kila shina la mpunga hupandikizwa mche (seedling) mmoja au miwili tu.
Kilimo hiki pia hutumia kiasi kidogo sana cha maji maana mimea ya mpunga hautakiwi kukua ikiwa kwenye maji mengi.
Maelezo zaidi yanapatikana kwenye link hii:-
The System of Rice Intensification
Pia unaweza ku-search kwenye youtube ukapata videos zinazoelezea vizuri zaidi.
Nawakilisha (Siasa ni Kilimo).
Hivi mtu akikuandikia wewe hivi utaelewa anamaanisha nini??Karibu Morogoro ulime!! Roughly kwa eka moja unahitaji la 6-8 kukodi adi kuvuna. Eka 1 waweza pata gunia 20-40.
Inategemea uko wapi...Naomba kujua gharama za kukodi shamba , kulima mpka kuvuna na inachukua muda gani ili mpunga kuwa tayari kwa kuvunwa na ekari 1 inatoa gunia ngapi
Kosa la kiuandishi tuu mkuu mbona imekuwa kama ugomvii?? Ilimaanisha laki 6-8!!Hivi mtu akikuandikia wewe hivi utaelewa anamaanisha nini??
Karibu Morogoro ulime!! Roughly kwa eka moja unahitaji la 6-8 kukodi adi kuvuna. Eka 1 waweza pata gunia 20-40.
Karibu Morogoro ulime!! Roughly kwa eka moja unahitaji la 6-8 kukodi adi kuvuna. Eka 1 waweza pata gunia 20-40.
Inafwatana na sehemu unayolima pia upatikanaji wa mvua mimi nilivuna 23 gunia kwa hekaHabari wadau, natarajia kulima mpunga msimu wa masika, lakini kabla hujaingia LAZIMA ufanye udadis ili kujiridhisha!
Ukiwauliza wakulima wenyewe wanakuambia heka moja inatoa magunia 20-30
Wengine magunia 15-20
Sasa UPI ukweli?
Naomba mwenye maelezo ya kina, kama inawezekana anieleze ni aina gani ya mbegu ya mpunga inayovumilia hali ya hewa na yenye mavuno mengi /mazuri!
Naomba kuwasilisha wakuu!
Karibuni nyote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nililima msimu wa 2017/18 na msimu huu 2018/19 nitalima tena.Habari wadau, natarajia kulima mpunga msimu wa masika, lakini kabla hujaingia LAZIMA ufanye udadis ili kujiridhisha!
Ukiwauliza wakulima wenyewe wanakuambia heka moja inatoa magunia 20-30
Wengine magunia 15-20
Sasa UPI ukweli?
Naomba mwenye maelezo ya kina, kama inawezekana anieleze ni aina gani ya mbegu ya mpunga inayovumilia hali ya hewa na yenye mavuno mengi /mazuri!
Naomba kuwasilisha wakuu!
Karibuni nyote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka umelima wap....Mimi nililima msimu wa 2017/18 na msimu huu 2018/19 nitalima tena.
Msimu uliopita, nililima ekari sita (06). Kati ya hizo, ekari tatu (03) nilipanda mbegu iitwayo super mkombozi ambayo hutumia siku 90 shambani tangu kupanda hadi kuvuna..na ekari tatu (03) nyingine, nilipanda mbegu aina ya Sarro ambayo hutumia siku 120.
Matokeo:-
Kwa ekari nilizopanda super mkombozi, nilivuna wastani wa magunia 17 Kwa kila ekari. Na Kwa zile ekari nilizopanda sarro, nilivuna wastani wa magunia 25 Kwa kila ekari. SIKUTUMIA MBOLEA HATA ROBO KILO
Changamoto:-
Kutegemea mvua ni changamoto kubwa. Mavuno yaliathiriwa na ukame wa takribani siku 24.
Changamoto nyingine, ni umbali. Mimi nipo mjini na pia ni mwajiriwa. Kutegemea mtu mwingine akukodie shamba, akulimie na kazi zote za shamba akufanyie yeye..LABDA AWE MALAIKA. ILA MSIMU HUU NALIMA TENA
Nakuja pm mkuu tuyajengeMimi nililima msimu wa 2017/18 na msimu huu 2018/19 nitalima tena.
Msimu uliopita, nililima ekari sita (06). Kati ya hizo, ekari tatu (03) nilipanda mbegu iitwayo super mkombozi ambayo hutumia siku 90 shambani tangu kupanda hadi kuvuna..na ekari tatu (03) nyingine, nilipanda mbegu aina ya Sarro ambayo hutumia siku 120.
Matokeo:-
Kwa ekari nilizopanda super mkombozi, nilivuna wastani wa magunia 17 Kwa kila ekari. Na Kwa zile ekari nilizopanda sarro, nilivuna wastani wa magunia 25 Kwa kila ekari. SIKUTUMIA MBOLEA HATA ROBO KILO
Changamoto:-
Kutegemea mvua ni changamoto kubwa. Mavuno yaliathiriwa na ukame wa takribani siku 24.
Changamoto nyingine, ni umbali. Mimi nipo mjini na pia ni mwajiriwa. Kutegemea mtu mwingine akukodie shamba, akulimie na kazi zote za shamba akufanyie yeye..LABDA AWE MALAIKA. ILA MSIMU HUU NALIMA TENA