bab-D
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 1,207
- 301
Habari wadau wenzangu wa Jamii Forum, naomba maoni yenu juu ya kilimo cha zao la mpunga. Napenda pata mawazo yenu juu ya suala zima la kilimo cha mpunga katika kujikwamua kimaisha, nimepata kiasi kidogo cha mkopo nataka peleka katika kilimo ili maisha yaweze songa mbele. Mchango wenu wadau.
Umepanga kulima nini, lini na umefanya mchanganuo vipi?