Kilimo cha mpunga dakawa

Hiyo bei kubwa sana Mkuu. Bei zinatofautiana eneo na eneo....Bagamoyo njia ya kwenda Msata kuna sehemu kuna mashamba ya umwagiliaji panaitwa Jaica hapo unalimwa Mpunga.
Ghara zao zipo hivi.
1. Kukodi shamba 120,000/= eka 1
2.kulima na kuotesha mbegu80,000/=
3. Kupandikiza60,000/=
4.palizi 60,000/=
5. Maji kumwagilia kila wiki 10,000/= mpk mpunga uchanue
6. Mbolea 54,000/=
7. Mfukuza ndege 60,000/=
8. Ukivuna ofisi ya mradi unalipia 50,000/=

Jumla tafuta mwenyewe hapo ila hazilipi kwa mkupuo
Hapo ni kama 500K, hujamwagilia, bado hujavuna usafiri na store. Bila kupata gunia 30 hapo ni kazi bure. Ukizingatia wakati wa mavuno being huwa chini.
 
Hapo ni kama 500K, hujamwagilia, bado hujavuna usafiri na store. Bila kupata gunia 30 hapo ni kazi bure. Ukizingatia wakati wa mavuno being huwa chini.
Nampaka unavuna unaweza kukutaa pesa yote imekwisha hivyo yakupasa uuzee japo kwa being ya chini upate fedha ya kujikimu na kupeleka store
 
Msaada nahitaji mpunga aina ya KAHOGO na PICHOLI hizi ni mbegu za asili zamani zilikuwa zinapatikana mikoa ya kanda ya ziwa hususani mkoani Mwanza. Mwenye aina hizo za mpunga tuwasiliane tafadhali. Ni kwa ajili ya mbegu. Asanteni.
Mkuu hzo mbegu ni mtiti sana kuziona, ila ukienda sengerema huko utazipata , maana kwa kdri misimu ya mvua inavyozingua ndo hzo mbegu znazid kupotea....sa hv watu wanakomaa na HYBRID hasa watu wanaopiga irrigation, mi mara ya kwanza kwenda DSM nilishangaa sana wali wa kule hauna radha na harufu kama mchele wa Mwanza, nikaja nikagundua kumbe mchele wa DSM unatokana na mbegu za kutengenezwa kwa ajir ya mavuno meng na biashara..... hasa kutoka sehemu zenye irrigation scheme au mabonde yenye mvua za kutosha
 
Hiyo bei kubwa sana Mkuu. Bei zinatofautiana eneo na eneo....Bagamoyo njia ya kwenda Msata kuna sehemu kuna mashamba ya umwagiliaji panaitwa Jaica hapo unalimwa Mpunga.
Ghara zao zipo hivi.
1. Kukodi shamba 120,000/= eka 1
2.kulima na kuotesha mbegu80,000/=
3. Kupandikiza60,000/=
4.palizi 60,000/=
5. Maji kumwagilia kila wiki 10,000/= mpk mpunga uchanue
6. Mbolea 54,000/=
7. Mfukuza ndege 60,000/=
8. Ukivuna ofisi ya mradi unalipia 50,000/=

Jumla tafuta mwenyewe hapo ila hazilipi kwa mkupuo
Mkuu huku jaica msimu wao unaanza lini kuandaa mashamba
 
Pale dakawa kwa sasa ni 350,000 mpaka 400,000 kwa ekari na una chance kubwa ya kudhulumiwa vile vile kuna magalagaja sana pale wana kodisha mpaka mara tano,tano
Wastani unaweza pata gunia ngp kwa heka Kama utahudumia vzr shamba lako
 
Wastani unaweza pata gunia ngp kwa heka Kama utahudumia vzr shamba lako
Maximum ni 40 ila uwe umepiga mbolea za kutosha kama awamu tatu hivi na parizi uwe umeifanya vizuri sema kupata shamba zuri ni mtihani maana mashamba mengi yamechoka kwa kupigwa mbolea nyingi kila mwaka.
 
Nimejipanga mwezi wa 6i nianze kilimo, na nimeanza kuweka mipango yangu sawa
 
Kaka HV hapo Bagamoyo wanalima mala ngap kwa msimu?
Hiyo bei kubwa sana Mkuu. Bei zinatofautiana eneo na eneo....Bagamoyo njia ya kwenda Msata kuna sehemu kuna mashamba ya umwagiliaji panaitwa Jaica hapo unalimwa Mpunga.
Ghara zao zipo hivi.
1. Kukodi shamba 120,000/= eka 1
2.kulima na kuotesha mbegu80,000/=
3. Kupandikiza60,000/=
4.palizi 60,000/=
5. Maji kumwagilia kila wiki 10,000/= mpk mpunga uchanue
6. Mbolea 54,000/=
7. Mfukuza ndege 60,000/=
8. Ukivuna ofisi ya mradi unalipia 50,000/=

Jumla tafuta mwenyewe hapo ila hazilipi kwa mkupuo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo bei kubwa sana Mkuu. Bei zinatofautiana eneo na eneo....Bagamoyo njia ya kwenda Msata kuna sehemu kuna mashamba ya umwagiliaji panaitwa Jaica hapo unalimwa Mpunga.
Ghara zao zipo hivi.
1. Kukodi shamba 120,000/= eka 1
2.kulima na kuotesha mbegu80,000/=
3. Kupandikiza60,000/=
4.palizi 60,000/=
5. Maji kumwagilia kila wiki 10,000/= mpk mpunga uchanue
6. Mbolea 54,000/=
7. Mfukuza ndege 60,000/=
8. Ukivuna ofisi ya mradi unalipia 50,000/=

Jumla tafuta mwenyewe hapo ila hazilipi kwa mkupuo
Hiyi gharama sijawahi onaaa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale wenye udhoefu na kilimo cha mpunga napenda kujua palizi ya mpunga huwa ni mara ngapi?
 
Back
Top Bottom