Kwema mkuu ni pm nikupe walau mwanga pa kuanzia lkn skimu bado haijaanza kazi.Habari wadau. Kama kuna mwenye kufahamu inapopatikana skimu ya umwagiliaji huko Bahi ambako kunalimwa mpunga anijuze tafadhali. Natanguliza shukran.
Na mimi nmeku pmKwema mkuu ni pm nikupe walau mwanga pa kuanzia lkn skimu bado haijaanza kazi.