From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,797
A2G, tunashukuru kwa taarifa. Japo mkali kama umelima mitiki lakini faida yake bado hujaiona.Haya mnataka bei za mtiki ni hizi hapa
Kuhusu soko: Nenda Turiani morogoro kuna Viwanda vitano vinauza nje hii miti. Pia nilisikia kilombero kipo kimoja
Nenda pia NMB wanakupa mkopo mzuri ukiwa na shamba la miti.
Ukitaka kuamini zaidi tembele wakala wa miti ofis zao zipo Morogoro njia ya kwenda Dodoma , nenda wakakupe ushuhuda.
Taarifa mnazo sasa kimbieni shamba
NB: mitiki inaweza kuuzwa ukiwa na miaka 8, kwahiyo ondoeni fikira za kwamba watafaidi watoto.
Uliyosema ni yetu kuchunguza na kutafiti.