Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 1,988
- 1,175
Habari wana JF.
Naomba wale walio na uzoefu wa kilimo cha Miti wanifungue macho kidogo. Nina heka kadhaa za ardhi katika ukanda wa Pwani ambapo nilijaribu kulima mazao ya kawaida (Nafaka) mwaka huu ambapo niliambulia zero ingawa niliwekeza sana katika ulinzi ambao ulinisaidia tu kuwadhibiti tnguruwe wakati wa usiku kwa kutumia Seng’enge (wire). Wanyama walionisumbua sana ni nyani na jamii yake na ngochiro na jamii yake ambao walikuwa wanaingia shambani muda ambao ilituwia vigumu kuwadhibiti.Eneo hilo lina mapori mengi na ni dhahiri usumbufu wa hawa wanyama unaweza kuendelea kuwepo kwa alau miaka mitano hadi kumi ijayo. Kutokana na niliyoyaeleza hapo juu ninawaza kusafirisha ardhi yote na kupanda miti kwa ajili ya biashara na kuivuna hapo baadaye ILI kuifanya ardhi yangu isibakie idle katika kipindi hiki cha mpito. Nawaomba wajuzi wanisaidie yafuatayo :-
1. Aina ya miti nitayoipanda ambayo hatachakaza ardhi
2. Aina ya miti nitayoipanda ambayo ninaweza kuivuna katika kipindi tajwa hapo juu
3. Tahadhari au mambo ya kuzingatia katika huu mradi.
4. Nitafurahi pia kupokea critics iwapo nimewaza vibaya
5. Lolote lile la kujenga litapokelewa kwa moyo wa unyekevu
Ahsante
Naomba wale walio na uzoefu wa kilimo cha Miti wanifungue macho kidogo. Nina heka kadhaa za ardhi katika ukanda wa Pwani ambapo nilijaribu kulima mazao ya kawaida (Nafaka) mwaka huu ambapo niliambulia zero ingawa niliwekeza sana katika ulinzi ambao ulinisaidia tu kuwadhibiti tnguruwe wakati wa usiku kwa kutumia Seng’enge (wire). Wanyama walionisumbua sana ni nyani na jamii yake na ngochiro na jamii yake ambao walikuwa wanaingia shambani muda ambao ilituwia vigumu kuwadhibiti.Eneo hilo lina mapori mengi na ni dhahiri usumbufu wa hawa wanyama unaweza kuendelea kuwepo kwa alau miaka mitano hadi kumi ijayo. Kutokana na niliyoyaeleza hapo juu ninawaza kusafirisha ardhi yote na kupanda miti kwa ajili ya biashara na kuivuna hapo baadaye ILI kuifanya ardhi yangu isibakie idle katika kipindi hiki cha mpito. Nawaomba wajuzi wanisaidie yafuatayo :-
1. Aina ya miti nitayoipanda ambayo hatachakaza ardhi
2. Aina ya miti nitayoipanda ambayo ninaweza kuivuna katika kipindi tajwa hapo juu
3. Tahadhari au mambo ya kuzingatia katika huu mradi.
4. Nitafurahi pia kupokea critics iwapo nimewaza vibaya
5. Lolote lile la kujenga litapokelewa kwa moyo wa unyekevu
Ahsante