Kilimo cha miti

DomyG

Member
Apr 18, 2012
8
5
Habarini za Mchana wana jamvi, samahani Nina maswala kadhaaa ningependa kuuliza na kupata ufafanuzi.

1. Ninawezaje kulifanyia survey shamba langu la miti ili nipate hati??

2. Ninaweza kupata mkopo kwa kupitia hilo shamba? Je ni njia gani nizifuate??

3. Thamani ya shamba la miti inategemea na sehemu lilipo?? Maana lipo mbali na mji.

Naombeni msaada
 
Habarini za Mchana wana jamvi, samahani Nina maswala kadhaaa ningependa kuuliza na kupata ufafanuzi.

1. Ninawezaje kulifanyia survey shamba langu la miti ili nipate hati??

2. Ninaweza kupata mkopo kwa kupitia hilo shamba? Je ni njia gani nizifuate??

3. Thamani ya shamba la miti inategemea na sehemu lilipo?? Maana lipo mbali na mji.

Naombeni msaada
Ndio unaweza kulifanyia survey na ukapata hati. Kama shamba lako liko ndani ya mipaka ya mji huwezi kupata hati ya shamba, utashauriwa kupima viwanja.

Kuna hati mbili, ya kimila na ile kubwa. Kama ni ile kubwa, ni mpaka eneo husika liwe lina mpango wa matumizi bora ya ardhi. Ukithibitisha kuwa eneo lako liko mahali sahihi, linakuja suala la mamlaka iliyopo pale, kama ni kijiji au halimashauri, itabidi uwaone wakupe go ahead ili uende kwa Bwana ardhi wa eneo husika. Kiufupi, anza na Bwana ardhi, ili akuchukulie coordinates za eneo lako na aweze kuangalia kwenye master plan. Akishahakikisha kwenye master plan ya eneo husika atakwambia pa kuanzia ili uokoe usumbufu.

Hati ya kimila inazingua sana kwenye mikopo.

Mashamba yote yapo mbali na mji, kama shamba lipo mjini, ujue linaweza kupata kikwazo cha kupimwa kama shamba. Shamba likiwa kwenye barabara linapata thamani zaidi.
 
Ndio unaweza kulifanyia survey na ukapata hati. Kama shamba lako liko ndani ya mipaka ya mji huwezi kupata hati ya shamba, utashauriwa kupima viwanja.

Kuna hati mbili, ya kimila na ile kubwa. Kama ni ile kubwa, ni mpaka eneo husika liwe lina mpango wa matumizi bora ya ardhi. Ukithibitisha kuwa eneo lako liko mahali sahihi, linakuja suala la mamlaka iliyopo pale, kama ni kijiji au halimashauri, itabidi uwaone wakupe go ahead ili uende kwa Bwana ardhi wa eneo husika. Kiufupi, anza na Bwana ardhi, ili akuchukulie coordinates za eneo lako na aweze kuangalia kwenye master plan. Akishahakikisha kwenye master plan ya eneo husika atakwambia pa kuanzia ili uokoe usumbufu.

Hati ya kimila inazingua sana kwenye mikopo.

Mashamba yote yapo mbali na mji, kama shamba lipo mjini, ujue linaweza kupata kikwazo cha kupimwa kama shamba. Shamba likiwa kwenye barabara linapata thamani zaidi.
Nashukuru Sana Ndugu
 
Back
Top Bottom