Kilimo cha mihogo kinaokoa kipewe thamani zaidi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Jirani yangu tumepakana viwanja, aliamua kupanda mihogo kwenye kiwanja chake akivuta nguvu ya kujenga. Akitafuta mbegu inaitwa kikombe.

Juzi alipata mnunuzi aliyetaka Kuip ja kwanza. Alichimbiwa shina moja akaondoka. Alipoonja mihogo na kuridhika alirudi na kununua mihogo yote kwa laki nane.

Jirani alimlipa mkulima 70,000 kulima na kupanda na palizi ilikua 45,000. Jana ananiambia laki tano ananunua matofali.
 
Eneo liwe la kichanga sio idongo wa tifutifu halafu iwe ile kichanga laini
 
Jirani yangu tumepakana viwanja, aliamua kupanda mihogo kwenye kiwanja chake akivuta nguvu ya kujenga. Akitafuta mbegu inaitwa kikombe.

Juzi alipata mnunuzi aliyetaka Kuip ja kwanza. Alichimbiwa shina moja akaondoka. Alipoonja mihogo na kuridhika alirudi na kununua mihogo yote kwa laki nane.

Jirani alimlipa mkulima 70,000 kulima na kupanda na palizi ilikua 45,000. Jana ananiambia laki tano ananunua matofali.
Umeanza lini kuwa motivesheno spika?

Afu umesahau leo tunatakiwa tukachome chanjo ya tatu ya uviko...

Afu hebu edit thread yako maana kuna mjukuu wako mmoja anaitwa Flano atanisumbua nimfafanulie
 
Jirani yangu tumepakana viwanja, aliamua kupanda mihogo kwenye kiwanja chake akivuta nguvu ya kujenga. Akitafuta mbegu inaitwa kikombe.

Juzi alipata mnunuzi aliyetaka Kuip ja kwanza. Alichimbiwa shina moja akaondoka. Alipoonja mihogo na kuridhika alirudi na kununua mihogo yote kwa laki nane.

Jirani alimlipa mkulima 70,000 kulima na kupanda na palizi ilikua 45,000. Jana ananiambia laki tano ananunua matofali.
Safi kabisa ni sehemu gani ,magunia mangapi alipata ,ulimaji wa muhogo unachukiwa miezi mingapi ,tuonyeshe hiyo mbegu ya kikombe.
 
Jirani yangu tumepakana viwanja, aliamua kupanda mihogo kwenye kiwanja chake akivuta nguvu ya kujenga. Akitafuta mbegu inaitwa kikombe.

Juzi alipata mnunuzi aliyetaka Kuip ja kwanza. Alichimbiwa shina moja akaondoka. Alipoonja mihogo na kuridhika alirudi na kununua mihogo yote kwa laki nane.

Jirani alimlipa mkulima 70,000 kulima na kupanda na palizi ilikua 45,000. Jana ananiambia laki tano ananunua matofali.
Duuuh, mihogo kwenye kiwanja imetoa laki 8!! Huku Mbeya mihogo ya hiyo pesa unaweza kujaza hata gari kubwa.
 
Jirani yangu tumepakana viwanja, aliamua kupanda mihogo kwenye kiwanja chake akivuta nguvu ya kujenga. Akitafuta mbegu inaitwa kikombe.

Juzi alipata mnunuzi aliyetaka Kuip ja kwanza. Alichimbiwa shina moja akaondoka. Alipoonja mihogo na kuridhika alirudi na kununua mihogo yote kwa laki nane.

Jirani alimlipa mkulima 70,000 kulima na kupanda na palizi ilikua 45,000. Jana ananiambia laki tano ananunua matofali.
Wapi huko mkuu
 
Back
Top Bottom