Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Nkuna fursa nimeikia kwenye redio ikitangazwa juu ya kilimo cha mihogo. Fursa hio inaletwa na wachina wao wanasema watakupa mbegu bure awali utalima na watanunua mihogo toka kwako wao wenyewe.

Mihogo hiyo wanatumia kutengeneza starch vyakula vya kuku nk. Kama kuna mdau yeyote mwenye contact za hao wachina au anaye weza facilitate nifanikiwe kukutana nao.. msaada please
 
Habari wana janvi!

Kwa yeyote anaefahamu upatikanaji wa mbegu bora za muhogo ambazo zilifanyiwa utafiti na kuthibitika kustaihimiri magonjwa mbalimbali na ukame, pia zenye kutoa mazao kwa wingi anakaribishwa.
 
Kawaulize wala mihogo sisi hatuli mihogo. We unauliza maswali ya mbegu umeambiwa JF kuna mla mihogo.
 
Habari wana janvi.

kwa yeyote anaefahamu upatikanaji wa mbegu bora za muhogo ambazo zilifanyiwa utafiti na kuthibitika kustaihimiri magonjwa mbalimbali na ukame, pia zenye kutoa mazao kwa wingi anakaribishwa.
MBEGU NZURI NI KIROBA NA NALIENDELE HUZAA TANI 20 KWA HEKTA MOJA NA INAKOMAA BAADA YA MIEZI TISA
 
Mkuu Mimi Nina kikundi changu tunategemea kukusanya zaidi ya tani 100,hivi soko lipoje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom